obsesd
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 1,225
- 525
mmh kwenye mabasi jaman? kbs? mh sidhan jaman.Hao wanao fanya chooni bado wanajihesimu sana mana wanafunga mlango na lock, hakuna anaye waona....Kuna wengine wanafanya kwenye ma bus na abiria wamejezana.
Dogo mara ya pili usisukume mlango, mlango hauna kosa.
wa2 kama wanaweza kufika uko.