Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,414
- 85,840
How to Have Sex in the Office and Not Get Caught - YouTube
wangekuwa wamesoma hii tutorial usingewaona wala kuwasikia
wangekuwa wamesoma hii tutorial usingewaona wala kuwasikia
ni watu wenye ndoa zao mbona mwandishi kasema lizzy
loh dunia ina miujiza hii
washamba na wapuuzi wakubwa huku duniani.what is so special na sex kwanza upuuuzi mtupuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhovyo kweli!!!
washamba na wapuuzi wakubwa huku duniani.what is so special na sex kwanza upuuuzi mtupuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
huyo dada hana haya jamani loh! akirudi home mkavuuuuuuuuuu
huyo dada hana haya jamani loh! akirudi home mkavuuuuuuuuuu
washamba na wapuuzi wakubwa huku duniani.what is so special na sex kwanza upuuuzi mtupuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
nasikia siku hizi watu wanamegwa lunch time. we umekaa unajitapa mi mme/mke wangu hachelewi kurudi nyumbani, kumbe mwenzio kajimaliza lunch time. Yaani hizi ndoa jamani, mi roho huwa inaniuma sana nikiona hayo mambo maoficin. ilishatoke mme wa rafiki yangu anafanya hayo mambo mi nikajua, swali likawa je, nimwambie shost au niache. yaani ni mtihani we acha tu
Hii issue sidhani kama imetokea kweli!! Siamini, weka picha.Im sory to say this, mnaweza niambia hayanihusu, but kuna vitu vinatia kichefuchefu jamani! Naenda toilet ya ofisini, nasikia strange noise kama vile watu wanafanya mapenzi. Nakuwa siamini nisikiacho, nasukuma mlango nakuta umefungwa. Narudi ofisini kusubiria kidogo, ile narudi tena anatoka mwanaume choo cha kike, namuuliza we vipi huku mbona sio kwako?Anajibaraguza na kuondoka.
Nasukuma tena mlango nakuta umefungwa!Hee, mara anatoka mwanamke uso mkavuu!Hivi kweli jamani kwa nini maofisini kuna hizi tabia chafu?Kibaya zaidi wote ni wanandoa, I mean mwanaume ana mke na mwanamke ana mume!
Hii ni tabia chafu sana na ipo kwenye maofisi mengi.Haaya mambo yanafanyikaga sana kwenye vyoo vya bar, kumbe hata kwenye maofisi ya serikali yapo! Loh!Ivi kweli binadamu tumekuwa kama mbwa?Cha ajabu tena watu wasomi?
Guys leo nimekasirika sana, kibaya zaidi ni watu wazima sana kwangu I wish to talk to them niwaonye ila najua watanimind.
Its not my business but this is not good!
Wewe binti wewe.......
Hujambo lakini? Happy New year!!
Nzi hachagua kidonda.Unajua vyoo vingi bongo vinanuka. Sasa hapa najiuliza hao watu wanaodinyana chooni hiyo harufu huwa haiwakwazi au ndo mambo ya mzuka wa kimapenzi. Kwamba mzuka ukipanda husikii, huoni, wala hunusi kitu mpaka ukate kiu chako....?
Unajua vyoo vingi bongo vinanuka. Sasa hapa najiuliza hao watu wanaodinyana chooni hiyo harufu huwa haiwakwazi au ndo mambo ya mzuka wa kimapenzi. Kwamba mzuka ukipanda husikii, huoni, wala hunusi kitu mpaka ukate kiu chako....?
Tanzania bila ukimwi itawezekana kweli?
Tanzania bila ukimwi itawezekana kweli?
Licha ya kunuka vyoo vingi bongo hasa vya ofisini kinakuwa kichumba kidogo kiasi cha watu wawili mnabanana lakini bado hawa wakagundua kuwa panafaa kwa starehe ni ISSUE.Unajua vyoo vingi bongo vinanuka. Sasa hapa najiuliza hao watu wanaodinyana chooni hiyo harufu huwa haiwakwazi au ndo mambo ya mzuka wa kimapenzi. Kwamba mzuka ukipanda husikii, huoni, wala hunusi kitu mpaka ukate kiu chako....?