Ngeleja, elewa kwamba rushwa si lazima utoe hela; mnachokifanya kupitia TBC1 hakifai

Rumishaeli

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
227
72
Jamani hii nchi ielewe kwamba rushwa si lazima ufanye ufisadi kama Jairo.

Ngeleja akishirikiana na TBC wanatangaza mambo yao ambayo hayana tija kwa sasa huku akijua kwamba hotuba yake ya bajeti haijapita hii ni janja ya nyani ninachoweza kusema hatudanganyikiiiiiiiiiiiii! Halafu eti sasa hivi wametupa umeme bila kukata, kama tatizo lilikua ni maji mvua imenyesha lini?

Mitambo ya kisanii mliyoleta imefungwa lini maana inatumia gesi na kampuni zinazoleta gesi kutoka mtwara mnasema zina matatizo na pia ni wakwepaji wakubwa wa kodi (refer report from sweden inaitaja wazi kampuni inayoleta gesi toka mtwara kuwa ni wezi, mkwepaji kodi yoyote ni mwizi).

Ninachoweza kusema wana JF wenzangu ni kwamba baada ya kupitisha bajeti ya wizara ya nishati na madini tunarudi gizani.

Naombeni Mchango wenu JF
 
Nakubaliana na wewe. Wakipitisha tu na giza nalo inarudi.
 
Jamani hii nchi ielewe kwamba rushwa si lazima ufanye ufisadi kama Jairo.

Ngeleja akishirikiana na TBC wanatangaza mambo yao ambayo hayana tija kwa sasa huku akijua kwamba hotuba yake ya bajeti haijapita hii ni janja ya nyani ninachoweza kusema hatudanganyikiiiiiiiiiiiii! Halafu eti sasa hivi wametupa umeme bila kukata, kama tatizo lilikua ni maji mvua imenyesha lini?

Mitambo ya kisanii mliyoleta imefungwa lini maana inatumia gesi na kampuni zinazoleta gesi kutoka mtwara mnasema zina matatizo na pia ni wakwepaji wakubwa wa kodi (refer report from sweden inaitaja wazi kampuni inayoleta gesi toka mtwara kuwa ni wezi, mkwepaji kodi yoyote ni mwizi).

Ninachoweza kusema wana JF wenzangu ni kwamba baada ya kupitisha bajeti ya wizara ya nishati na madini tunarudi gizani.

Naombeni Mchango wenu JF
na itakuwa imekula kwa watanzania tayari..
 
Jamani hii nchi ielewe kwamba rushwa si lazima ufanye ufisadi kama Jairo.<br />
<br />
Ngeleja akishirikiana na TBC wanatangaza mambo yao ambayo hayana tija kwa sasa huku akijua kwamba hotuba yake ya bajeti haijapita hii ni janja ya nyani ninachoweza kusema hatudanganyikiiiiiiiiiiiii! Halafu eti sasa hivi wametupa umeme bila kukata, kama tatizo lilikua ni maji mvua imenyesha lini? <br />
<br />
Mitambo ya kisanii mliyoleta imefungwa lini maana inatumia gesi na kampuni zinazoleta gesi kutoka mtwara mnasema zina matatizo na pia ni wakwepaji wakubwa wa kodi (refer report from sweden inaitaja wazi kampuni inayoleta gesi toka mtwara kuwa ni wezi, mkwepaji kodi yoyote ni mwizi). <br />
<br />
Ninachoweza kusema wana JF wenzangu ni kwamba baada ya kupitisha bajeti ya wizara ya nishati na madini tunarudi gizani. <br />
<br />
Naombeni Mchango wenu JF
<br />
<br />


kwan ngeleja kafanya nn kupitia Tbc1?
 
Nimeona huo upupu wake leo...but imekula kwake sio kwetu, this tym lazima ajivue gamba kwenye hiyo wizara..labda apelekwe wizara ya jinsia na maendeleo ya wanawake..inaweza kumfit..so huku alipo..kumempwaya
 
I have no respect for this mediocre performer who is all out to serve his selfish interests at the expense of the economy of this country. I wish my beloved President was bold enough to give him the sack. The sooner he does that the better.
 
Jamani hii nchi ielewe kwamba rushwa si lazima ufanye ufisadi kama Jairo.

Ngeleja akishirikiana na TBC wanatangaza mambo yao ambayo hayana tija kwa sasa huku akijua kwamba hotuba yake ya bajeti haijapita hii ni janja ya nyani ninachoweza kusema hatudanganyikiiiiiiiiiiiii! Halafu eti sasa hivi wametupa umeme bila kukata, kama tatizo lilikua ni maji mvua imenyesha lini?

Mitambo ya kisanii mliyoleta imefungwa lini maana inatumia gesi na kampuni zinazoleta gesi kutoka mtwara mnasema zina matatizo na pia ni wakwepaji wakubwa wa kodi (refer report from sweden inaitaja wazi kampuni inayoleta gesi toka mtwara kuwa ni wezi, mkwepaji kodi yoyote ni mwizi).

Ninachoweza kusema wana JF wenzangu ni kwamba baada ya kupitisha bajeti ya wizara ya nishati na madini tunarudi gizani.

Naombeni Mchango wenu JF

kwakweli lets wait and see!!!
 
Jamani hii nchi ielewe kwamba rushwa si lazima ufanye ufisadi kama Jairo.

Ngeleja akishirikiana na TBC wanatangaza mambo yao ambayo hayana tija kwa sasa huku akijua kwamba hotuba yake ya bajeti haijapita hii ni janja ya nyani ninachoweza kusema hatudanganyikiiiiiiiiiiiii! Halafu eti sasa hivi wametupa umeme bila kukata, kama tatizo lilikua ni maji mvua imenyesha lini?

Mitambo ya kisanii mliyoleta imefungwa lini maana inatumia gesi na kampuni zinazoleta gesi kutoka mtwara mnasema zina matatizo na pia ni wakwepaji wakubwa wa kodi (refer report from sweden inaitaja wazi kampuni inayoleta gesi toka mtwara kuwa ni wezi, mkwepaji kodi yoyote ni mwizi).

Ninachoweza kusema wana JF wenzangu ni kwamba baada ya kupitisha bajeti ya wizara ya nishati na madini tunarudi gizani.

Naombeni Mchango wenu JF


tujuze kwenye red!
 
suala la msingi tu wajue kwamba kujionesha kwenye TBC hakutoshi kumsafisha NGELEJA,amechafuka na alitakiwa nae apishe nafasi kwani haiwezekani katibu mkuu akakusanya kiasi kikubwa hivyo cha fedha bila idhini yake,na kama hakuwa na taarifa basi hii inadhihirisha wazi kuwa hata katibu mkuu wake alimdharau hawezi kazi na hatomfanya kitu,amekuwa mtu wa porojo nyingi wakati sie tunahitaji umeme,vyanzo vya umeme ni vya toka enzi za mwaliimu,hii ni aibu kubwa kwa taifa hili linaloelekea kutimiza miaka hamsini,yeye na naibu wake waachie ngazi na ukweli ni kuwa hawasafishiki tena.
 
Nadhani kuna ukweli hapo kwenye kurudi gizani soon bajeti ya nishati na madini ikipitishwa next week.
 
Rumishaeli una akili sana. Mie nlikuwa sijui kama wizara ya nishati na madini ina kitengo cha propaganda..hii nchi bwana yaani utadhani ni drama.! Kuweni siriasi viongozi jamani
 
jamaa anatapatapa tu, ngoja arudi bungeni theni atatueleza amejipanga vipi.
 
Naamini kabisa toka moyoni mwangu kuwa Ngeleja na Jairo wangekuwa ni wa China hata matanga tungeshasahau siku nyingi!
 
Jamani hii nchi ielewe kwamba rushwa si lazima ufanye ufisadi kama Jairo.<br />
<br />
Ngeleja akishirikiana na TBC wanatangaza mambo yao ambayo hayana tija kwa sasa huku akijua kwamba hotuba yake ya bajeti haijapita hii ni janja ya nyani ninachoweza kusema hatudanganyikiiiiiiiiiiiii! Halafu eti sasa hivi wametupa umeme bila kukata, kama tatizo lilikua ni maji mvua imenyesha lini? <br />
<br />
Mitambo ya kisanii mliyoleta imefungwa lini maana inatumia gesi na kampuni zinazoleta gesi kutoka mtwara mnasema zina matatizo na pia ni wakwepaji wakubwa wa kodi (refer report from sweden inaitaja wazi kampuni inayoleta gesi toka mtwara kuwa ni wezi, mkwepaji kodi yoyote ni mwizi). <br />
<br />
Ninachoweza kusema wana JF wenzangu ni kwamba baada ya kupitisha bajeti ya wizara ya nishati na madini tunarudi gizani. <br />
<br />
Naombeni Mchango wenu JF
<br />
<br />
pamoja na hayo wa2pe maelezo yakutosha juu ya trend ya upatikanaji wa umeme coz kama ni mvua mgao ungeendelea coz haijanyesha.
 
Back
Top Bottom