Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Habari za ndani kutoka kwa mdau aliyepo ndani ya mgodi wa Tulawaka uliopo mkoani Kagera unaomilikiwa na kampuni ya Barrick.
Waziri wa Nishati na madini Mh. William Ngeleja yupo ndani ya mgodi huo.
Haijulikani Mheshimiwa huyo amefuata nini lakini ameambatana na msafara wa magari aina ya V8 yasiyopungua nane.
Sasa hivi mheshimiwa akisindikizwa na Meneja wa Mgodi huo wanaelekea mesini kupata chakula cha mchana huku msafara wa magari aliyokuja nayo yakielekea sehemu maalumu ya kujazia mafuta tayari kwa kujazwa mafuta ya bure.
Ngeleja anaonekana ni mwenye furaha na hafichi tabasabu lake kila anapopena mikono wa wazungu wa hapo, pengine kuna kitu kinamfurahisha mgodini hapo.
Waziri wa Nishati na madini Mh. William Ngeleja yupo ndani ya mgodi huo.
Haijulikani Mheshimiwa huyo amefuata nini lakini ameambatana na msafara wa magari aina ya V8 yasiyopungua nane.
Sasa hivi mheshimiwa akisindikizwa na Meneja wa Mgodi huo wanaelekea mesini kupata chakula cha mchana huku msafara wa magari aliyokuja nayo yakielekea sehemu maalumu ya kujazia mafuta tayari kwa kujazwa mafuta ya bure.
Ngeleja anaonekana ni mwenye furaha na hafichi tabasabu lake kila anapopena mikono wa wazungu wa hapo, pengine kuna kitu kinamfurahisha mgodini hapo.