mtungu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2021
- 249
- 403
Imetokea leo hospital ya Ngamiani inasemekana dogo ni mwanafunzi wa shule kamaliza Sekondari na kafaulu kwenda kidato cha 5.
Alikuwa na mimba anajificha watu wasijue akawa anaumwa anamwambia shangazi yake tumbo linamsumbua Leo akampeleka hospitali wajue Nini tatizo, Daktari kumuliza anamwambia ana fangasi zinamsumbua akaambiwa mbona Kama wewe una mimba? Akawa anakataa kumbe uchungu ulikuwa ushambana Sana ikabidi aambiwe aende akalete mkojo.
Kumbe ndo muda wa kuzaa umefika alipofika chooni akawa anazaa alipomaliza akataka kumsokomeza kwenye sinki la choo mtoto mkubwa akashindwa kupita akamuacha.
Sasa mgonjwa mmoja akasikia mbona chooni kwalia mtoto akaita manesi wakaenda kumchukua kwa kujua mama wa mtoto kakimbia kumbe yupo kwenye foleni.
Watu Wanalaani na shangazi yake pia analaani kumbe ni mwanae kufika zamu yake daktari akamkagua anaona damu, akumuliza tena akakataa akampeleka leba kwa uchunguzi zaidi manesi kumchunguza akaoneka kazaa akakataa akabanwa kuwa anapelekwa polisi ndo akasema kazaa mtoto yupo chooni.
Alikuwa na mimba anajificha watu wasijue akawa anaumwa anamwambia shangazi yake tumbo linamsumbua Leo akampeleka hospitali wajue Nini tatizo, Daktari kumuliza anamwambia ana fangasi zinamsumbua akaambiwa mbona Kama wewe una mimba? Akawa anakataa kumbe uchungu ulikuwa ushambana Sana ikabidi aambiwe aende akalete mkojo.
Kumbe ndo muda wa kuzaa umefika alipofika chooni akawa anazaa alipomaliza akataka kumsokomeza kwenye sinki la choo mtoto mkubwa akashindwa kupita akamuacha.
Sasa mgonjwa mmoja akasikia mbona chooni kwalia mtoto akaita manesi wakaenda kumchukua kwa kujua mama wa mtoto kakimbia kumbe yupo kwenye foleni.
Watu Wanalaani na shangazi yake pia analaani kumbe ni mwanae kufika zamu yake daktari akamkagua anaona damu, akumuliza tena akakataa akampeleka leba kwa uchunguzi zaidi manesi kumchunguza akaoneka kazaa akakataa akabanwa kuwa anapelekwa polisi ndo akasema kazaa mtoto yupo chooni.