Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,995
Na Juma Nature humjui? Sitaki demu!!....Mi namfaham wa Mitego tu,kwani Sinta ndo nani?Mwanasiasa au msanii? #Via wabongo kwa kupotezeana hatujambo
Na Juma Nature humjui? Sitaki demu!!....Mi namfaham wa Mitego tu,kwani Sinta ndo nani?Mwanasiasa au msanii? #Via wabongo kwa kupotezeana hatujambo
Sinta anakosea sana, maneno anayotumia sio sahihi kwa mtu kama yeye na wa hiyo status anayoing'ang'ania.
Sijui nani kati yao ndio mchokozi lakini nachojua Ney Wa Mitego haogopagi kuongea, Sinta anaeza akaaibika.
Weza ikawa ni ile nyimbo mpya ya Ney ndio imemchefua Sinta
Kama kuaibika, Sintah ameaibika sana labda ashtuke sasa kv amekuwa matured! Kuna kuaibika, zaidi ya kutungiwa nyimbo 2, tena zilizoshika, wakati huo Mwanakiumeni Nature akiwa na status ya platinum kwa hapa EA! Magazeti ya Udaku yote, yalikuwa hayauzi pasipo na scandal ya Sintah....enzi hizo, ni Sugu tu ndie alikuwa anafahamika; nazani hata Zitto bado alikuwa kwao muuza dagaa!
Kakako TID anamind watu kujiita wanyama!!full kutimba wanyama na masingle button ya kadinda anasema yeye hawezi kuvaa vitambaa vya macarpet!hahhahah!!rich mavoko angekuwa ana sura ya mamake angeteka jiji!dogo anajua sana!halafu anapita mulemule kama domo!
ukijifanya jembe watu wanakuchomekea MPINI si unajua jembe bila MPINI halifanyi kazi haya Sasa kazi kwenu "majembe"...Nadhani hata sherehe za nane nane tunawasherehekea hao wanaojiita 'majembe' na 'wanyama' kama T.I.D maana wanaleta tafsiri nzuri ya 'sikukuu ya wakulima na wafugaji'
ukijifanya jembe watu wanakuchomekea MPINI si unajua jembe bila MPINI halifanyi kazi haya Sasa kazi kwenu "majembe"
UKIWA mnyama watu wanakula nyama kiulaiiniiii nyam nyamna kwa mfano ukijifanya mnyama?