Leo nimeingia kwenye blog ya Sinta nimekuta ameweka picha ya Ney akiwa amejisexisha maana jamaa anauza muscles na boxer. Cha kunishangaza naona maneno yaliyoisindikiza ni kumchana. Sijui wamemwagana au wamekopana maana hata hasomeki blogger mwenyewe. Embu wakuu mwenye sembe atumwagie maana wengine tunataka tukauze mashigongo yetu (magazeti ya udaku)