Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,459
Hii ni habari ya kusikitisha na nimeshindwa kuelewa HAKI iko wapi ama nani ana HAKI.
Siku ya Jana katika jengo la PPF PLAZA mwanza Maaskari wamempa kipigo Meneja wa Jengo hilo wakati walipokua wakishusha pesa za Benki ya TIB(Tanzania Investment Bank). Sababu ya kipigo ilikua kumtetea kijana ambaye ni mpangaji katika Jengo hilo aliyekuakuwa amewekwa chini ya ulinzi na kupigwa kwa sababu alipita katika eneo hilo wakati pesa ikishushwa ndani ya Gari la Security Group ambalo ndio mlango wa kuingia ofisi mbali mbali katika jengo hilo.
Mapolisi hao walikua wakiongea kwa sauti kubwa mbele ya umati wa watu wakisema Hatujali cha Meneja wa nn tunaangalia ulinzi wa pesa ngoja tumpeleke kituoni ndipo atueleze vizuri huo umeneja wake.
Gari ya FFU ilikuja na kumchukua bwana mkubwa huku akiwa amevimba uso kwa kipigo na baadae alirudi ofisini kwake.#
My Take:
Mie naona haikua HAKI kumpiga meneja yule wa jengo na kama walikua na wasi wasi wangemweka chini ya ulinzi pasipo kumzalilisha kwa kipigo.
Swali
Je huyo Meneja anaweza kufungua kesi na akashinda? Au ndo tuseme hawa jamaa wamepia mamlaka yote kama wanasafirisha pesa.
UPDATES
Police leo wamefungua Jalada wanadai Meneja huyo aliwazuia kufanya kazi yao.
Siku ya Jana katika jengo la PPF PLAZA mwanza Maaskari wamempa kipigo Meneja wa Jengo hilo wakati walipokua wakishusha pesa za Benki ya TIB(Tanzania Investment Bank). Sababu ya kipigo ilikua kumtetea kijana ambaye ni mpangaji katika Jengo hilo aliyekuakuwa amewekwa chini ya ulinzi na kupigwa kwa sababu alipita katika eneo hilo wakati pesa ikishushwa ndani ya Gari la Security Group ambalo ndio mlango wa kuingia ofisi mbali mbali katika jengo hilo.
Mapolisi hao walikua wakiongea kwa sauti kubwa mbele ya umati wa watu wakisema Hatujali cha Meneja wa nn tunaangalia ulinzi wa pesa ngoja tumpeleke kituoni ndipo atueleze vizuri huo umeneja wake.
Gari ya FFU ilikuja na kumchukua bwana mkubwa huku akiwa amevimba uso kwa kipigo na baadae alirudi ofisini kwake.#
My Take:
Mie naona haikua HAKI kumpiga meneja yule wa jengo na kama walikua na wasi wasi wangemweka chini ya ulinzi pasipo kumzalilisha kwa kipigo.
Swali
Je huyo Meneja anaweza kufungua kesi na akashinda? Au ndo tuseme hawa jamaa wamepia mamlaka yote kama wanasafirisha pesa.
UPDATES
Police leo wamefungua Jalada wanadai Meneja huyo aliwazuia kufanya kazi yao.