Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,942
- 6,860
Wazawa ni mimi mlala hoi, ninayepata mlo mmoja kwa siku, ninayepinda mgongo shambani/kazini kutwa kwa malipo kiduchu ni mimi ngozi nyeusi ambaye baba, babu, baba ya babu na babu ya babu yangu mzaa mama na mzaa babu walizaliwa kamachumu muleba na kufia muleba, na mimi ningali Tanzania na wale wengine wote wanaofanana na mie ndio wazawa, usipoelewa hilo basi kammulize Simba
Una hakika kuwa babu wa babu yako alizaliwa Kamachumu?