New Targets: Slaa na Raia Mwema

kwa Bahati mbaya sana wengi wetu huwa tunakariri propaganda za CCM nsa kuamini kwamba ndiyo ukweli wenyewe. upinzani sasa hivi una nguvu zaidi maeneo ya Vijijini kuliko mijini.

vyama vingine vimeanza kupata kura nyingi zaidi vijijini kuliko mijini. wakati sehemu nyingine za Tanzania CHADEMA imepata viti vingi kwenye serikali za mitaa,lakini imeambulia viti vinne tu kwenye jiji la Dar es salaam!!

hoja hii ya kuelimisha wanavijiji ni sawa na ile inayosema vyama vingine viungane ili kuitoa CCM. inawezekana kweli timu nyingine ziungane ili ziitoe Simba kileleni? ili nani awe mshindi kati yao?


Umesema kweli kabisa. Tatizo la watu wa mjini wengi ni maopportunists sio watu wanaotafuta mabadiliko ya kweli. Watu wa vijijini wakiamua kumng'a hata kiongozi wao wa kijiji wanaweza kwa kumwambia waziwazi. Tumeona mifano mingi, katika wabunge wa upinzani wangapi wanatoka mjini? Na je hiyo ni sababu ya elimu? Siku zote nashangazwa na hili, mjini watu wanaamini katika kupata mlo wao tu, ni wa binafsi kupindukia. Na hata jamii ya wasomi inastahili lawama katika hili, wengi wetu tuko very sensitive na vibarua vyetu wako radhi wampigie magoti fisadi. Mfano ni hao mafisadi wanavyojitanua, unadhani wafuasi wao wako vijijini ambao hawana elimu? this is so disgusting!!
 
..usongo wake unaweza kuwashawishi mafisadi kumfanyia kitu mbaya.
 
Kupungua kwa ngvu za MwanaHalisi, kufifia kwa Uadilifu wa Tanzania Daima, kuibuka upya kwa magazeti ya Nipashe na ndugu zake, na pia Kurudi katika Chati kwa Jenerali, ndilo Tishio jipya katika siasa za hapa nyumbani Tanzania.

Siasa za CCM , zimejaa uharamia na uharifu wa kila na namna, wakizitumia vizuri mamlaka mbalinbali ambazo ziko chini ya Raisi ni raisi kwao kuhujumu harakati halali za kisiasa, ila kila kosa atakalo lifanya JK kutaka kuwaziba midomo Jenerali/Raia Mwema na kamanda Dr W. Slaa ndipo pale atakaongeza umaarufu wa kisiasa wa mahasimu wake sambamba.

Jenerali ni mahili wa kukwepa vihunzi vya kisiasa huku akijilinda kwa kila gharama kuchafuta na dhana mbalimbali za kifisadi au mafisadi, huku akijiweka kando na baadhi ya marafiki zake na yeye kubaki kua safi.

si nilisikia baada ya "genius mzalendo" sakina datoo kuondoka gazeti la nipashe na dada zake yatakufa, vipi imekuaje tena yameibuka upya??
 
jambo moja ambalo binafsi napata tabu na Chadema ni sera yao ya majimbo.. siamini kama tataizo letu ni government system.. tatizo ni watu .. yani viongozi ... kupewa nchi na kisha kuanza kuover all system kuleta majimbo .. then utatumia miakak mitano kustructure system ... na mara uchaguzi mwingine. na pia kwa kuangalia watu wetu bado hisia za ukabila zipo vichwani mwa watu .. kuleta majimbo kutaiweka nchi vulnerable na watu kuanza kufikiri kikanda zaidi .. nadhani hakuna ukomavu wa kisiasa kuweza kumanage Majimbo system.. ni hilo .. natumai watu wa Chadema mnaweza kurithink strategy ... pia watu wanakuwa na hofu ya kuanza new system... Issue hapa ni kupata watu .. leaders .. nchi tatizo ni viongozi tu .. si unaona watu kama kina Mrema walivyoleta changes .. enzi zao ..
 
jambo moja ambalo binafsi napata tabu na Chadema ni sera yao ya majimbo.. siamini kama tataizo letu ni government system.. tatizo ni watu .. yani viongozi ... kupewa nchi na kisha kuanza kuover all system kuleta majimbo .. then utatumia miakak mitano kustructure system ... na mara uchaguzi mwingine. na pia kwa kuangalia watu wetu bado hisia za ukabila zipo vichwani mwa watu .. kuleta majimbo kutaiweka nchi vulnerable na watu kuanza kufikiri kikanda zaidi .. nadhani hakuna ukomavu wa kisiasa kuweza kumanage Majimbo system.. ni hilo .. natumai watu wa Chadema mnaweza kurithink strategy ... pia watu wanakuwa na hofu ya kuanza new system... Issue hapa ni kupata watu .. leaders .. nchi tatizo ni viongozi tu .. si unaona watu kama kina Mrema walivyoleta changes .. enzi zao ..

Eleza madhara ya sera ya majibu zaidi ya hisia tu kuwa watu watafikiri kikanda.
 
Eleza madhara ya sera ya majibu zaidi ya hisia tu kuwa watu watafikiri kikanda.


unaona hata kwa mfumo wa sasa tulio nao bado hisia za kikabila na kikanda zinaonekana .. na hivi karibuni hatat wabunge watu wanaambia kagombee kwenu .. so ukiwaletea majimbo ndio kabisa... Inaweza kuwa ni system iliyofanikiwa mahali pengine kamam hapa US lakini sidhani kamam inaweza kufanikiwa kwenye nchi changa kisiasa kama zetu ... na kwa kusema kweli sera ya majimbo ni kitanzi kizuri tu kwa Chadema kwa sasa. mananke kutaka kubadilisha system ni kwamba unaamini matatizo yenu yanatokana na system tuliyo , wakati ukweli ni kwamba chanzo cha matatizo sio kukosekana kwa majimbo .. bali ni ufisadi .. na ukisema tataizo ni kukosekana kwa majimbo basi tunajua kuwa hujui tatizo ni nini.. soo hatukuchagui
 
unaona hata kwa mfumo wa sasa tulio nao bado hisia za kikabila na kikanda zinaonekana .. na hivi karibuni hatat wabunge watu wanaambia kagombee kwenu .. so ukiwaletea majimbo ndio kabisa... Inaweza kuwa ni system iliyofanikiwa mahali pengine kamam hapa US lakini sidhani kamam inaweza kufanikiwa kwenye nchi changa kisiasa kama zetu ... na kwa kusema kweli sera ya majimbo ni kitanzi kizuri tu kwa Chadema kwa sasa. mananke kutaka kubadilisha system ni kwamba unaamini matatizo yenu yanatokana na system tuliyo , wakati ukweli ni kwamba chanzo cha matatizo sio kukosekana kwa majimbo .. bali ni ufisadi .. na ukisema tataizo ni kukosekana kwa majimbo basi tunajua kuwa hujui tatizo ni nini.. soo hatukuchagui

Bado hujaeleza madhara ya majimbo mkuu
 
Kuna ushahidi gani kwamba Raia Mwema au Dr. Slaa watamulikwa kwa ajili ya kuongea bila ''kigugumizi'', kwa kuongea taarifa ''za kina na uchunguzi'' Watachunguzwa na nani?

Sasa unataka watu waongee vipi? Kwa kigigumizi, bila kufanya uhcunguzi wowote? Kuhusu Dr. Slaa kwamba anaweza kuwa mgomea Urais kwa tiketi ya Chadema na uwezekano wake wa kushinda Uchaguzi, hilo sijui, sijalifikiria. Lakini hapa lazima ukumbuke what Mao Zedong used to call ''objective reality and subjective thinking.'' Kwamba lazima tuhahakikishe kwamba tunalinganisha subjective thinking yetu na objective reality.

Usiseme Dr. Slaa anafaa kuwa Rias kwa vile tu Dr. Slaa ni binamu yako, au tu kwa vile wewe ni mwanachama wa Chadema, lakini lazima utazame objective reality na uone kweli kama Dr. Slaa anao uwezo wa kushinda kura ya Urais.

Unaweza kutazama ukaona kitu mbele yako ambacho hakipo,kipo tu ndani ya mawazo yako. Unaweza kuitazama kamba ukafikiria kwamba ni nyoka. Kwa hiyo unaweza kumtazama Dr. Slaa ukadhani anaweza kuwa Rais, kumbe ni kama kufikiria kwamba kamba ni nyoka. Au unaweza kumtazama nyoka,na ukadhania kwamba ni kamba, halafu matatizo mengi yanaweza kukufika.

Kwa hiyo, wakati mwingine unatazama kitu,kumbe hakipo, vile unavyokiona wewe. Wakati mwingine unatazama kitu, kumbe kiko vile vile unavyokitazama wewe. You have to decide.

Labda Dr. Slaa anazo qualities ambazo zinaweza kumfanya awe Rais. Labda you were not wrong in thinking kwamba Dr. Slaa anafaa kuwa Rais. Lakini hizo qualities anazo kiasi gani,to what extent. Do not give too much credit, do not give him too little credit.

Hapa, I must say, siongee kuhusu qualities za Dr. Slaa,and whether or not anafaa kuwa Rais,[hayo mambo nitawaachia politcal commentators. Jambo muhimu ni kwamba unaposema kwamba Dr. Slaa anafaa kuwa Rais, kama wewe ni political comentator, uyakumbuke maneno hayo uliyoyasema kabla yauyakumbuke baada ya Uchaguzi, ama sivyo utakuwa kama Shekh Yahya, ambaye anatabiri mambo mengi kabla ya Uchaguzi, lakini baada ya Uchaguzi hakuna mtu yoyote ambaye anakwenda kumuuliza, mbona mambo aliyotabiri hayakutokea] ila naongea tu kuhusu umuhimu, ulazima, wa kulinganisha subjective thinking na objective reality.

Kama vile Polisi wanavyoweza kuwakamata washukiwa kadhaa katika tukio la uhalifu, halafu inabidi waamue kama wote wanahusika, and to what extent, au labda wote hawahusiki na inabidi waachwe huru.
 
Ganesh,
Mkuu tumekusikia, lakini hoja bado inabakia kwamba Dr.Slaa na raia Mwema wanatazamwa kwa ukaribu.. sasa sii ajabu hizo hadithi za nyoka na kamba zipo upande wapili..yaani hao wanaomtazama Dr.Slaa na raia Mwema ndio wanafikiria Nyoka kumbe ni kamba ama kinyume.. kumbuka tu sarafu ina pande mbili..moja ya kichwa (utambulisho) na nyingine mkia inayoonyesha thamani ya sarafu hiyo..
 
Mkuu Mwanakijiji,
Kuna kipengele kimoja ambacho CCM watakitumia kumpaka Slaa kama itakuwa JK vs Slaa. Ili kisiwe na uzito, ingefaa Slaa amshawishi Prof. Lipumba awe mgombea mwenza na hapo wata-neutralize hiyo ngebe.

mgombea mwenza lazima atoke Zanzibar..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom