nina wasiwasi sijui kama huwa unasoma unachoandika au unagonga tu keyboard, yaani siku nikisoma post yako na kukuta inaavoid offpoints nadhani itakuwa JF imekwisha!!As I said before, darwin ameweka madai and not questions. FYI hakuna nchi ya Kikristo kama ilivyo katika utamaduni wa Waarabu kuweka na kuislimisha nchi na kuwa ya kiislam, yaani nchi kuwa na deen kama allah wenu alivyo kuwa na deen. Sijuwi allah wenu anamsalia nani na nchi kama nchi inamsalia nani.
Uislam, si imani kama unavyo fikiria, bali ni submission kwa allah wenu kutokana na Koran yenye shaka. Ukitaka ukweli halisi kuhusu hiyo submission, basi itanibidi nianze kuweka ayat kutoka Koran na sahih hadith, kitu ambacho nilikuwa sitaki kufanya. You can see from my replies kutokea mwanza, ninajaribu kuavoid mwendo huo, ambao, unaweza ukawa personal to you muhammadans, na kuwapandisha jazba, na kusababisha hii thread kufungwa.
Mwadishi wa kitabu amedai kuwa uilsam umeweza kwa kiasi kikubwa kumhusisha mwanamke, wakati ni uongo mtupu kutokana no Koran yenu inayo dai kuwa Mwanamke ni nusu mtu na hana haki katika usilam.
kwa ufupi katika uislam mwanamke amepewa nafasi, na kila kitu kimeandikwa haki na wajibu, tatizo huwezi ku-connect dots unadokoa kinachokufurahisha toka katika vyanzo vyako na kuondoka nacho, kama mwanamke wa kiislam ninazijua haki zangu na namshukuru mungu kuzaliwa nikiwa katika uislam, majibu ya maswali yangu yote nayapata ndani ya qurani sina haja ya kwenda beijing!!!
kabla ya uislam pana makabila na mila (zakiarabu na hata kiafrica) zilizokuwa zinachukia na hata kuua mtoto wa kike anapozaliwa na hii mpaka leo bado ipo hata baadhi ya makabila tu hapa tanzania lakini qurani au uislam umelikemea hilo!!
mila za kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile ni laana kwa mujibu wa qurani na uislam, mwanamke sio kitega uchumi kama ilivyokuwa mila zetu za kiafrika makabila mengi yalikuwa na polygamy hadi wake 30 angalia historia za machifu lakini qurani inalimit 4 tena kwa sababu maalum,kwa wenye mazingatio sio tu kuoa kama unavyosema ww,
sasa mkuu naomba niambie biblia au ukristo unasemaje juu ya mwanamke!!