Wewe Max na wenzako mijadala yenu ya deen inaboa hapa kwenye net.
Ila nina maswali mawili tu nakuuliza.
Kwa mtazamo wako, I mean mtazamo wako wewe Max
1.Ni nchi gani afrika mashariki ambayo unaiona imeendelezwa na mkristo.
Usilete majibu ya wazungu kwani kwanza wao ndio wapinzani wakubwa wa kuwepo Mungu, nataka majibu ya wamisionari. wazungu wengi wanajali sayansi na ndio inayoendeleza dunia sasa.
2. Ni nchi gani afrika mashariki unayoiona haina civilazation kwasababu inaufuata uislamu?
Hii nayo majibu usiweke waarabu kwani wako waarabu wakristo na wanasayansi.
Labda ukiyajibu maswali haya wenzako washabiki wa deen ndio watakuelewa.
Bila ya hivyo mtabakia hapa hapa na ubishani wenu wakitoto
Baba ana pajero baba yako hana.
Baba ana majumba baba yako hana.
Ila nina maswali mawili tu nakuuliza.
Kwa mtazamo wako, I mean mtazamo wako wewe Max
1.Ni nchi gani afrika mashariki ambayo unaiona imeendelezwa na mkristo.
Usilete majibu ya wazungu kwani kwanza wao ndio wapinzani wakubwa wa kuwepo Mungu, nataka majibu ya wamisionari. wazungu wengi wanajali sayansi na ndio inayoendeleza dunia sasa.
2. Ni nchi gani afrika mashariki unayoiona haina civilazation kwasababu inaufuata uislamu?
Hii nayo majibu usiweke waarabu kwani wako waarabu wakristo na wanasayansi.
Labda ukiyajibu maswali haya wenzako washabiki wa deen ndio watakuelewa.
Bila ya hivyo mtabakia hapa hapa na ubishani wenu wakitoto
Baba ana pajero baba yako hana.
Baba ana majumba baba yako hana.