komedi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 204
- 17
Weweeee!
We Mnyaki una matatizo eeh?:lol:
Vipi jana jamaa zako wa yale mabasi 2 toka Mbeya walifika kwa Mch. Mwasapile kumsalimia?
ah! wapi bwana!wanakijiji wa samunge kata ya digodigo wakali, wana wivu kusikia eti babu ana ndugu wengine zaidi yao......
''ero habana fika pande hii, kama nataka uza sura, nenda kwenye nimbo enu sa injili....habana samunge, aya enda, mwasongwe enda, mwansasu enda, ambele enda, mwakasege enda, bukuku enda, mwaipopo enda, lusekelo enda, mwaikomedi enda, mwakipakajimmy
Habana ona pua ya mutu bande hii, sirikali etu na kijiji etu habana ona nyinyi tena. Ilikuwa wapi siku yote??''