Uliza Dubai huenda wanaijuaWadau naomba msaada kwenye hii picha hapa. Mbona simuoni Adam & Hawa?View attachment 2688760
Uliza Dubai huenda wanaijuaWadau naomba msaada kwenye hii picha hapa. Mbona simuoni Adam & Hawa?View attachment 2688760
Wakati picha inapigwa walikuwa wameenda "short call"!Wadau naomba msaada kwenye hii picha hapa. Mbona simuoni Adam & Hawa?View attachment 2688760
Wamekimbia....mjadala wa Bandari mkali....Wadau naomba msaada kwenye hii picha hapa. Mbona simuoni Adam & Hawa?View attachment 2688760
Mwenyewe nilikuwa sielewi mpaka nilipokutana na hii kituWadau naomba msaada kwenye hii picha hapa. Mbona simuoni Adam & Hawa?
Ya Rais na ya IkuluWakati tunasoma uraia ninyi sijui mlikuwa wapi aiseee 😂😂😂😂
Hapo moja ya Raisi Ikulu, nyingine ya Taifa, sijui shida nini sasa
Huwa zinatumikaje yaani ni wakati gani sahihi wa kutumia ya Ikulu na ni wakati gani sahihi wa kuitumia ya Taifa raisi anapohutubu kwenye podium?Ni tofauti, moja ni ya Taifa, nyengine ni ya Ikulu.
Hakuna jipya hapo.
🤣🤣🤣🙏🙏🙏Tofautisha presidential standard na coat of arms,hiyo ni civics form one tu..mnakwama wapi?