ni yale yale mana na grade si zimeshuka?
Acheni uongo grade hazijashuka.ni yale yale mana na grade si zimeshuka?
Acheni uongo grade hazijashuka.
acha wivuimekaa safi sana hii.
Ni kweli mkuu grade zimeshushwa sana thamani ukilinganisha hata na walivyobana pointi ya madaraja. Kwa hiyo kwa kuzingatia kushuka kwa thamani ya A, B C na D ni yale yale tu ya wale wale tu
Da jaman haya yote 2mewasafixhia njia cc ambao 2lmalzaga 2012 Waljfanya wanaborexha elimu kumbe uxenge 2nakubal kw ufala