Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,252
- 4,832
Angalia vizuri unaona wanafanana na hawa wa kwetu kweli?Sasa hao cushites wa ethiopia si ndio hawa hawa wambulu, wanyiramba na wanyaturu. Au umeona tofauti gani mkuu
Ni lineage ile ile mkuu ukifuatilia historia zao.. Ukimchukua mkushi wa Ethiopia na mbulu ambaye hajachanganya damu ni watu wale waleAngalia vizuri unaona wanafanana na hawa wa kwetu kweli?
Nasikia Katibu Mkuu CCM tayari. Ni kutoka kambi ipi Msoga, White Hair au Chato?. Kama nimekosa Jukwaa, Kumradhi.Sasa hao cushites wa ethiopia si ndio hawa hawa wambulu, wanyiramba na wanyaturu. Au umeona tofauti gani mkuu
Ila pia watu wasafiri hadi ethiopia kwa ajili ya sex tour
Mama nae nasikia kabadilisha King'amuzi remote ya Msoga haibadili chanel tena.Nasikia Katibu Mkuu CCM tayari. Ni kutoka kambi ipi Msoga, White Hair au Chato?. Kama nimekosa Jukwaa, Kumradhi.
Wanazeeka haraka sana na wakizeeka Huwa na sura mbovu hatariWadau hamjamboni nyote
Karibuni tujadili
Kwani DONGOBESH ulichukuwa sampo?Wanazeeka haraka sana na wakizeeka Huwa na sura mbovu hatari
Spidi Yao ya kuzeeka kubwa kuliko wanawake watanzania walio wengi
Mleta mada usilete balaa Tanzania halafu unakuja kutelekeza mtoto wa kike wa watu muethiopia akishazaa mtoto mmoja tu akakongoloka
Wana cell za kuzeeka spidi Kali wakiwa wasichana waweza changanyikiwa Kwa uzuri walionao
Njoo huku mkoa wa Manyara....utawaona zaidi ya haoWadau hamjamboni nyote
Karibuni tujadili
mapema mwakani inshalah na ziara hukoNjoo huku mkoa wa Manyara....utawaona zaidi ya hao
Wa Barbara ya vumbi Hawa, wamejaa tele Arusha.Wadau hamjamboni nyote
Karibuni tujadili