Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Ndugu Mkullo
Salaam sana toka Tarime kupitia hapa JF,
Baada ya tetesi kwa muda sasa na hatimaye upepelezi wangu umekamilika .Na kwa kawaida JK kazi yetu ni ku set agenda baada ya kuwa tumejiridhisha na kuipa Serikali taarifa .Kama ndiyo hivyo basi leo naleta taarifa kwako na wengineo wote serikali kwamba hawa brothers hawalipi kodi ya Serikali pamoja na kufan ya biashara kubwa mno ya kuchapisha hapa Tanzania .Hawa jamaa wana kampuni yao inaitwa DTP na ofisi zao ziko pale Voctoria .
Kitu kizuri kimoja ni kwamba wamekataa kutokuwa 10% ili wapate kazi lakini sasa wamekuwa muda muda hawalipi kodi na hata sasa ukifika ukaomba risiti utapewa ambazo hazina rekodi na wana fyatua hapo hapo .
Ukiwa na kazi wanakupunguzia kwa kuwa watakushawishi usiombe risiti maana hawana na ukiitaka sana watakupa ila watakuumiza bei .
Ushahidi ninao na nimebaki kushangaa kwamba ni kweli inawezekana kuna mkono wa mmoja wenu huko juu ndiyo maana hawa wahindi wanapeta hivi au ni bahati mbaya wanaiibia serikali nanyi hamna habari ?
Wazalendo wengine wa JF naamini sasa mtaanza kuelekea huko na kujua haya ninao yasema na Serikali sasa na hasa TRA karibuni kule mjue kama nisemayo ni ukweli ama uongo .
Ninaufungua mjadala .
Salaam sana toka Tarime kupitia hapa JF,
Baada ya tetesi kwa muda sasa na hatimaye upepelezi wangu umekamilika .Na kwa kawaida JK kazi yetu ni ku set agenda baada ya kuwa tumejiridhisha na kuipa Serikali taarifa .Kama ndiyo hivyo basi leo naleta taarifa kwako na wengineo wote serikali kwamba hawa brothers hawalipi kodi ya Serikali pamoja na kufan ya biashara kubwa mno ya kuchapisha hapa Tanzania .Hawa jamaa wana kampuni yao inaitwa DTP na ofisi zao ziko pale Voctoria .
Kitu kizuri kimoja ni kwamba wamekataa kutokuwa 10% ili wapate kazi lakini sasa wamekuwa muda muda hawalipi kodi na hata sasa ukifika ukaomba risiti utapewa ambazo hazina rekodi na wana fyatua hapo hapo .
Ukiwa na kazi wanakupunguzia kwa kuwa watakushawishi usiombe risiti maana hawana na ukiitaka sana watakupa ila watakuumiza bei .
Ushahidi ninao na nimebaki kushangaa kwamba ni kweli inawezekana kuna mkono wa mmoja wenu huko juu ndiyo maana hawa wahindi wanapeta hivi au ni bahati mbaya wanaiibia serikali nanyi hamna habari ?
Wazalendo wengine wa JF naamini sasa mtaanza kuelekea huko na kujua haya ninao yasema na Serikali sasa na hasa TRA karibuni kule mjue kama nisemayo ni ukweli ama uongo .
Ninaufungua mjadala .