Nimeona mabunge yote ya
Jamuhuri ya MUUNGANO Tangu enzi za kina Semindu Pawa, Byeitima, Brycon,
Kimbau, Lubereje na hata kina Mrema, Gama na Kadhalika. Sasa tuna
wabunge wanafanya lolote bila kwa na heshima wala mipaka. Rais wa nchi
anatukanwa, Spika anadhalilishwa na kila anachofanya bungeni wao
wanakimbilia Mwanza, Arusha na Iringa kuitisha maandamano kujibu
yaliyojili bila kutoa haki kwa wanaowasikiliza nao kupata habari ya
upande wapili. Sasa hii ya LEMA NA MSIGWA NI KALI. MSIGWA YEYE ANAJIITA
MCHUNGAJI. MIMI KAMA MKRISTO NAAMINI MCHUNGAJI HAWEZI KUDANGANYA MAANA
NI DHAMBI KUBWA. LAKINI YEYE AMEHUTUBIA IRINGA NA KUMTAJA HADHARANI MHE.
IBRAHIM KINANA KUWA NDIYE ANAMALIZA TEMBO KWA KUUZA MENO YA TEMBO
TANZANIA. SINA HAKIKA KAMA KUNA SHAHIDI KIASI GANI MAANA HII NI KOSA LA
JINAI. NI KAMA KATIBU WA CHADEMA ALIPODAI KULE TABORA KUWA ETI RIDHWANI
KIKWETE ALIKUWA AMESHIKILIWA CHINA KWA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA NA
KIKWETE ALISAFIRI KWENDA CHINA KUMNUSURU. LAKINI KITUKO WAKATI ANADAI
HAYO MAMBO RAIS ALIKUWA KWENYE SHUGHULI NYINGINE NA KIJANA HUYO WA RAIS
ALIWEZA KUDHIBITISHA KUWA HAJAWAHI HATA KUFIKA CHINA.
LEMA NAYE AMESIMAMISHWA BUNGENI SASA AMEKWENDA KULETA UCHOCHEZI WA
KISIASA KATIKA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA. HHAIINGII AKILINI MAANA CHUO CHA
UHASIBU KIPO CHINI YA WIZARA YA FEDHA NA HAKUNA KWA NAMNA YEYOTE MBUNGE
ANAWEZA KUINGILIA MAMBO YA CHUO KAMA HICHO. WABUNGE WAUPINZANI NA
VIONGOZI SOMENI ALAMA ZA NYAKATI. KILA NIKIANGALIA JUU NIKAANGALIA CHINI
NIKAANGALIA KUSHOTO NA KULIA NAONA KABISA YALIYOMKUTA RAILA ODINGA
KWENU ITAKUWA MARADUFU NA MWISHO WA UPINZANI NCHINI. NENDENI TARATIBU NA
MUWE WAKWELI NCHI HII HAIWEZI KUFANYA MAKOSA YA KUWEKA MADARAKANI
VIONGOZI WA MIZAHA NA UONGO WA KISHAROBARO
Nimeona mabunge yote ya Jamuhuri ya MUUNGANO Tangu enzi za kina Semindu Pawa, Byeitima, Brycon, Kimbau, Lubereje na hata kina Mrema, Gama na Kadhalika. Sasa tuna wabunge wanafanya lolote bila kwa na heshima wala mipaka. Rais wa nchi anatukanwa, Spika anadhalilishwa na kila anachofanya bungeni wao wanakimbilia Mwanza, Arusha na Iringa kuitisha maandamano kujibu yaliyojili bila kutoa haki kwa wanaowasikiliza nao kupata habari ya upande wapili. Sasa hii ya LEMA NA MSIGWA NI KALI. MSIGWA YEYE ANAJIITA MCHUNGAJI. MIMI KAMA MKRISTO NAAMINI MCHUNGAJI HAWEZI KUDANGANYA MAANA NI DHAMBI KUBWA. LAKINI YEYE AMEHUTUBIA IRINGA NA KUMTAJA HADHARANI MHE. IBRAHIM KINANA KUWA NDIYE ANAMALIZA TEMBO KWA KUUZA MENO YA TEMBO TANZANIA. SINA HAKIKA KAMA KUNA SHAHIDI KIASI GANI MAANA HII NI KOSA LA JINAI. NI KAMA KATIBU WA CHADEMA ALIPODAI KULE TABORA KUWA ETI RIDHWANI KIKWETE ALIKUWA AMESHIKILIWA CHINA KWA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA NA KIKWETE ALISAFIRI KWENDA CHINA KUMNUSURU. LAKINI KITUKO WAKATI ANADAI HAYO MAMBO RAIS ALIKUWA KWENYE SHUGHULI NYINGINE NA KIJANA HUYO WA RAIS ALIWEZA KUDHIBITISHA KUWA HAJAWAHI HATA KUFIKA CHINA.
LEMA NAYE AMESIMAMISHWA BUNGENI SASA AMEKWENDA KULETA UCHOCHEZI WA KISIASA KATIKA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA. HHAIINGII AKILINI MAANA CHUO CHA UHASIBU KIPO CHINI YA WIZARA YA FEDHA NA HAKUNA KWA NAMNA YEYOTE MBUNGE ANAWEZA KUINGILIA MAMBO YA CHUO KAMA HICHO. WABUNGE WAUPINZANI NA VIONGOZI SOMENI ALAMA ZA NYAKATI. KILA NIKIANGALIA JUU NIKAANGALIA CHINI NIKAANGALIA KUSHOTO NA KULIA NAONA KABISA YALIYOMKUTA RAILA ODINGA KWENU ITAKUWA MARADUFU NA MWISHO WA UPINZANI NCHINI. NENDENI TARATIBU NA MUWE WAKWELI NCHI HII HAIWEZI KUFANYA MAKOSA YA KUWEKA MADARAKANI VIONGOZI WA MIZAHA NA UONGO WA KISHAROBARO