Tuagize
JF-Expert Member
- Dec 5, 2021
- 238
- 548
Habari Zenu,
Mimi ni Kijana, Umri 24, Ndoto yangu siku moja niwe mpiga picha wa Rais wa Tanzania, nimeanza kazi za upigaji picha, na uchukuaji Matukio kwa mtindo wa Video miaka 9 nyuma nimepata bahati ya kufanya na watu maarufu kadhaa, lakini kiu yangu ni kufanya kazi na Rais wa Tanzania,
Jana nilipokuwa kwenye Shughuli fulani nilimuona Kijana mdogo sana, Mpiga Picha wa Rais wa Zanziabar, Hakika nilivutiwa sana, na Kuamini Na mimi naweza siku moja kuwa miongoni wa wapiga picha wa Rais wa Tanzania, nina mazoea sana na aliyekuwa mpiga picha wa Rais mstaafu JK, Issa michuzi
Kwangu ni kama Uncle, na nilishamweleza kuwa natamani kuja kuwa kama wewe na hiyo ndio ndoto ya maisha, ananipa moyo nakuniambia pambana mungu atakujaalia itakuwa
Baba, Mama, Kaka, Dada zangu, hivi inawezekana mtu tu wa kawaida kuja kuwa mpiga Picha wa Rais, na nitumie Mbinu gani niweze kufanikisha Ndot yangu hiyo.
Mimi ni Kijana, Umri 24, Ndoto yangu siku moja niwe mpiga picha wa Rais wa Tanzania, nimeanza kazi za upigaji picha, na uchukuaji Matukio kwa mtindo wa Video miaka 9 nyuma nimepata bahati ya kufanya na watu maarufu kadhaa, lakini kiu yangu ni kufanya kazi na Rais wa Tanzania,
Jana nilipokuwa kwenye Shughuli fulani nilimuona Kijana mdogo sana, Mpiga Picha wa Rais wa Zanziabar, Hakika nilivutiwa sana, na Kuamini Na mimi naweza siku moja kuwa miongoni wa wapiga picha wa Rais wa Tanzania, nina mazoea sana na aliyekuwa mpiga picha wa Rais mstaafu JK, Issa michuzi
Kwangu ni kama Uncle, na nilishamweleza kuwa natamani kuja kuwa kama wewe na hiyo ndio ndoto ya maisha, ananipa moyo nakuniambia pambana mungu atakujaalia itakuwa
Baba, Mama, Kaka, Dada zangu, hivi inawezekana mtu tu wa kawaida kuja kuwa mpiga Picha wa Rais, na nitumie Mbinu gani niweze kufanikisha Ndot yangu hiyo.