Nimekuwa nikijihusisha na uandishi wa habari za siasa nchini kwa miaka mitano sasa , na nimekuwa nafatilia hali ya kisiasa nchini kwa muda sasa na kusema kweli kama kuna mtanzania anadhani mabadiliko hayaji anajiadanganya sana tena sana aniwie radhi nataka kumwambia ukweli unaouma masikioni mwake ambao ni "watanzania wana kiu ya mbadiliko , wamechoswa na mfumo gandamizi, wanataka mabadiliko na mabadiliko yako njiani yanakuja hakuna wa kuyazuia"
Hivyo hii ni ndoto yangu iliyojikita kwenye uhalisia kuliko ushabiki natoa changamoto kwa wapinga mabadiliko kama wana moyo mgumu wajitahidi kuhudhuria maandamano ya chadema au waende chuo kikuu cha dar es salaam wakuzungumze upuuzi wao pale isha wataona wasomi watawafanya nini? halafu ndiyo waje hapa jamvini kubishana na mimi vinginevyo kuja hapa na stori kuwa sijui wananchi wa kijiji fulani wamerudisha kadi za chadema na kuchukua za ccm.....oooh sijui mkutano wa nape umejaa maelfu huu wote ni upuuzi ukweli wa mambo ni kuwa watanzania wanataka changes.
Heri wanaolifahamu hili sasa kwa maana yatakapotimia hawatafadhaika sana kama hujaamua basi kata shauri leo ungana na wanaharakati wapigania mageuzi kina Mwanakijiji na wengineo......Naam! hii ndiyo ndoto yangu ya leo!
Hivyo hii ni ndoto yangu iliyojikita kwenye uhalisia kuliko ushabiki natoa changamoto kwa wapinga mabadiliko kama wana moyo mgumu wajitahidi kuhudhuria maandamano ya chadema au waende chuo kikuu cha dar es salaam wakuzungumze upuuzi wao pale isha wataona wasomi watawafanya nini? halafu ndiyo waje hapa jamvini kubishana na mimi vinginevyo kuja hapa na stori kuwa sijui wananchi wa kijiji fulani wamerudisha kadi za chadema na kuchukua za ccm.....oooh sijui mkutano wa nape umejaa maelfu huu wote ni upuuzi ukweli wa mambo ni kuwa watanzania wanataka changes.
Heri wanaolifahamu hili sasa kwa maana yatakapotimia hawatafadhaika sana kama hujaamua basi kata shauri leo ungana na wanaharakati wapigania mageuzi kina Mwanakijiji na wengineo......Naam! hii ndiyo ndoto yangu ya leo!