condorezaraisi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 225
- 116
Wana Chit Chat niko vey serious juu ya hili..
wenye kufunga kwa maombi mnisaidie.Fungeni mniokoe na janga hili
Ni muda sasa nimekuwa nikiota na do na braza mmoja ...
Cha ajabu ingekuwa labda naota ndoto tofauti tofauti la hasha ..
Kila nikiota namuota huyo huyo na do nae ......
Mara ya mwisho niliomuona kwenye kikao cha harusi ya mtu akiwa kama mwanakamati
..sijamuona tena hadi hapa ninapotoa malalamiko yangu
Lakini sasa haipiti week/or mbili namuota ..
Hivi ndo popobawa hawa ???????:A S cry::A S cry::A S cry:
wenye kufunga kwa maombi mnisaidie.Fungeni mniokoe na janga hili
Ni muda sasa nimekuwa nikiota na do na braza mmoja ...
Cha ajabu ingekuwa labda naota ndoto tofauti tofauti la hasha ..
Kila nikiota namuota huyo huyo na do nae ......
Mara ya mwisho niliomuona kwenye kikao cha harusi ya mtu akiwa kama mwanakamati
..sijamuona tena hadi hapa ninapotoa malalamiko yangu
Lakini sasa haipiti week/or mbili namuota ..
Hivi ndo popobawa hawa ???????:A S cry::A S cry::A S cry: