carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Carmel taratibu bi shost watakutoa macho hawa , si wote wenye utovu wa nidhamu katika ndoa zao.
Ofcourse wanaofanya vema haitawasumbua, ila watakaoreact na kunitoa macho wameguswa, si unajua ukilamba pilipili lazima uwashwe?
Mi sina ugonvi na wanaume, maana hatuwezi kuishi bila wao and wao pia hawawezi kuishi bila sisi, nachofanya ni kuwasaidia tu washtuke in case they have gone astray.