Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
You got it right Mwanajamii1, ni kama vile ulikuwa kichwani mwangu. yaani hii ndiyo lifestyle ya wanaume wetu hawa wa kibongo, eti wakishaoa wanadhani wake zao ni maids, hawezi hata kushusha net kitandani, wanajua kuvua nguo na kutupa katikati ya chumba.
We bana achana na maisha ya kizungu wewe ni Mwafrika mweusi wa Kibongo unataka uishi maisha ya kizungu ya nini bana? Inajulikana wazi Kiafrika kazi za mama ni zipi na kazi za baba ni zipi naona unamix uzungu hapa eti kazi kusaidiana weeeee ungekuwa mke wangu nakupiga talaka 5 kwenue na rambo kwenye nguo hakuna kubeba begi yaani mm nikusaidie kufua? Nikusaidie kuosha vyombo? Nikusaidie kupiga deki khaaaaa! weeeee ahaaaa unasapeshwa fasta ukamtafute Bushoke.
Hivi fikiria umemtembelea kaka ako ukafika pale ukaona kaka ako anaosha vyombo wifi yako yupo kwenye kochi anaangalia Luninga alafu anamwambia ukimaliza vyombo dear alafu udeki nyumba nzima mm nimechoka utajisikiaje? Sio mnasema tu.