Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
MJ1 big up,nimeikubali hii,labda tuwaulize swali hawa wakaka,kabla ya kuoa ulikua unafanya kazi zako vizuri kabisa bila shida,na nyumba inaonekana fresh kabisa,sasa kwa nini mkioa mnabadili tabia? na hamataki kabisa kusaidia wake zenu? Mnakua na matatizo gani? Chrispin,Fidel80 leteni majibu ya haya maswali.
Kabla sijaoa, kulikuwa na foleni ya vishosti vikipigania kufanya usafi wa gheto na kunifulia viwalo. Nilikuwa nawapangia ratiba ili kukwepesha ugomvi. Hahaha! Nakumbuka siku moja vilifumaniana nikasepa, swahiba akavisuluhisha. Nikajua vitanitosa kumbe ndio kwanza vikazidi kujileta. Mpaka kuamua kuoa, nilijitahidi sana kudumisha mila.