Ndoa za siku hizi

MJ1 big up,nimeikubali hii,labda tuwaulize swali hawa wakaka,kabla ya kuoa ulikua unafanya kazi zako vizuri kabisa bila shida,na nyumba inaonekana fresh kabisa,sasa kwa nini mkioa mnabadili tabia? na hamataki kabisa kusaidia wake zenu? Mnakua na matatizo gani? Chrispin,Fidel80 leteni majibu ya haya maswali.

Kabla sijaoa, kulikuwa na foleni ya vishosti vikipigania kufanya usafi wa gheto na kunifulia viwalo. Nilikuwa nawapangia ratiba ili kukwepesha ugomvi. Hahaha! Nakumbuka siku moja vilifumaniana nikasepa, swahiba akavisuluhisha. Nikajua vitanitosa kumbe ndio kwanza vikazidi kujileta. Mpaka kuamua kuoa, nilijitahidi sana kudumisha mila.
 
mhh jamani, akufulie mpaka chupi na boxers...huyu mamam atakuwa hajitambui kabisa.

Kweli kabisa Nyamayao ikifika hapo sasa huyo mama atakuwa amejisahau kwa kiasi kikubwa sana,itabidi atafutiwe washauri waanze kumpa somo tena kwa upya kuhusu ndoa.
 
hivi wapwa,
mimi nikimweka beki-tatu pale geto itakuwaje?na waifu ameenda darasa udom
 
Kabla sijaoa, kulikuwa na foleni ya vishosti vikipigania kufanya usafi wa gheto na kunifulia viwalo. Nilikuwa nawapangia ratiba ili kukwepesha ugomvi. Hahaha! Nakumbuka siku moja vilifumaniana nikasepa, swahiba akavisuluhisha. Nikajua vitanitosa kumbe ndio kwanza vikazidi kujileta. Mpaka kuamua kuoa, nilijitahidi sana kudumisha mila.


Mmmhh kazi kweli kweli,hujatulia wewe.
 
hivi wapwa,
mimi nikimweka beki-tatu pale geto itakuwaje?na waifu ameenda darasa udom

Kama vipi nikutafutie kamoja. Kuna kamoja wife alikatimua akiogopa usalama wa ndoa. Kakali kweli katoto ka kirangi.
 
Kaka I feel your feelings!! But with due respect kaka sometimes inabidi nanyi mara moja moja muwe mnayatia mapenzi chachu hata kwa kufanya kakitu kadogo kuonyesha kuwa unamsaidia wife. Sio unakuta mwingine kaka yeye anachojua ni kufanyiwa tu mfano
1. Anaamka asubuhi anakuamsha ukamwekee maji kwenye ndoo (na yanatoka bombani na ni master bedroom)
2. Umwekee dawa ya meno kwenye mswaki (usipoweka ataoga kisha atatoka kuja kuulizia mswaki wake)
3. Anatoka bafuni (hapo unakuta pant yake kaivua kaitupia kwenye sink anasubiri uje uife!)
4. Akitoka ushampigia pasi anavaa, anakunywa chai ulomwekea kisha huyooo funguo za gari zi wapi na akifika ndani ya gari ni honi mtindo mmoja unamchelewesha na usipokimbia na viatu mkononi anakuacha unakwenda ofcn kwa daladala au ukifanikiwa kuingia kwenye gari basi kusemwa mtindo mmoja unamchelewesha teke.

MCHANA KUTWA HATA KUKUPIGIA SIMU YA SALAMU AU SMS YA I MISS YOU!

5. Akirudi jioni akute chai yake mezani na maji bafuni
6. Atizame TV huku akisubiri chakula au asome magazeti yake
7. Akishakula huyooo kitandani analala huku akisubiri wewe uje ushushe neti na kumfunika na shuka!
8. Uingie kitandani baada ya kumaliza kazi zako akudake tayari kwa chakula cha usiku.
The life continues!

Kwa style hii kweli unategemea mkeo atakuwa anamapenzi na wewe? Si atajihisi hana tofauti na huyo housegirl jamani!

Jamani mara moja moja ukinisaidia kushusha net au hata kunipigia na mimi pasi I tell you nitaikumbuka kwa muda mrefu na moyo wangu kukongwa vilivyo!!


mami umenena haswaaa...hapo kwa blu mie haniachi aisee, apande yeye daladala.
 
Kweli kabisa Nyamayao ikifika hapo sasa huyo mama atakuwa amejisahau kwa kiasi kikubwa sana,itabidi atafutiwe washauri waanze kumpa somo tena kwa upya kuhusu ndoa.

Kwani kufua kufuli ya mmeo ni kosa? Huu ndo wajibu wa mwanamke au mnafikiri wajibu wenu ni kwenye chakula cha usiku tu?
 
Kama vipi nikutafutie kamoja. Kuna kamoja wife alikatimua akiogopa usalama wa ndoa. Kakali kweli katoto ka kirangi.

sasa mimi waifu ndo atakafurahia?hehehe patachimbika mkuu.nasikia tutoto twa kirangi naturally ni tusafi sana.kwa mujibu wa tetesi huwa tunaenda oga kila baada ya mshindo mmoja.vipi shemasi na wewe kalikuwa kanakufanyia hivyohivyo?
 
sasa mimi waifu ndo atakafurahia?hehehe patachimbika mkuu.nasikia tutoto twa kirangi naturally ni tusafi sana.kwa mujibu wa tetesi huwa tunaenda oga kila baada ya mshindo mmoja.vipi shemasi na wewe kalikuwa kanakufanyia hivyohivyo?

Sikufanikiwa mpwa, wife alikuwa kama mgambo wa city. Woman to Woman. We katakufaa waife atakapoenda UDOM. Hahahaha! Contacts zake bado nazo.
 
Yaani wewe utulivu ni 0%. Sasa hizo tabia ulishaziacha za kuwa na vishosti vingi baada ya kuoa? au bado unaendelea nazo?

Hivi unategemea mahawala iwa wanaachana? Thubutu wanacho fanya nikukumbushia tu.
 
Kwani kufua kufuli ya mmeo ni kosa? Huu ndo wajibu wa mwanamke au mnafikiri wajibu wenu ni kwenye chakula cha usiku tu?

hahahah!shemeji waeleze hao.hivi hawa ni wanawake wa wapi wasiojua na hili?

wao wasipofua WAPO WENZAO WANAFUA KILA SIKU
 
Yaani wewe utulivu ni 0%. Sasa hizo tabia ulishaziacha za kuwa na vishosti vingi baada ya kuoa? au bado unaendelea nazo?

Aaaah! Nlishaachaga zamaniiii. Hivi sasa na deal na wazoefu wenzangu. Ndo maana nlikwambia Mr. akikuboa usisahau kuniPM.
 
Sikufanikiwa mpwa, wife alikuwa kama mgambo wa city. Woman to Woman. We katakufaa waife atakapoenda UDOM. Hahahaha! Contacts zake bado nazo.
KWELI BWA-SHEE!
sasa fanya hivi,ni-pm namba zake basi
 
Back
Top Bottom