R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,150
Ndoa ya wake wengi inahusu zaidi kumsitiri mwanamke awe na ndoa ajulikane ni mke wa fulani kuzidi mwanaume kuwa na wake wengi.
Leo hii wanawake wengi wa kikristo ni kawaida kuwakuta wanazeekea makanisani huku wakiomba wapata waume kitu ambacho ni kigumu kwasababu wanaume tupo wachache na wenye uwezo wa kuoa wapo wachache zaidi na sheria ni kuoa mke moja, hao wanaume wengine mnategemea watokee wapi?
Wakristo wa kiafrika walikosea sana kufuata mitazamo ya ulimwengu ya wamishonari wa Ulaya walioleta Ukristo barani Afrika na kuacha mitala na mila ambayo ilikuwa imeenea kipindi cha manabii wa kwenye Biblia. kina Esau, Musa, Daudi, Elkana, Mfalme Solomon, n.k.
Kuna sehemu hata moja Mungu alipinga ama kuchukizwa na wao kuoa zaidi ya mke moja ?
wakristo wapitie upya mafundisho ya ndoa ya mke mmoja maana hakuna mstari nabii yoyote alietumwa na Mungu kukataza jambo hili.
Ni muhimu ili "kuokoa kizazi cha wanawake ambao wanazeeka kanisani bila waume"
Mitala ilizoeleka na jamii nyingi za kitamaduni za Kiafrika na tamaduni ya Kiyahudi pia ilikuwa ya wake wengi, ilianza kufifia baada ya kuanzishwa kwa Ukristo ulioegemea zaidi tamaduni za kizungu ambako waligeuza sheria zifuate zaidi tamaduni zao za kuo mke moja.
Leo hii wanawake wengi wa kikristo ni kawaida kuwakuta wanazeekea makanisani huku wakiomba wapata waume kitu ambacho ni kigumu kwasababu wanaume tupo wachache na wenye uwezo wa kuoa wapo wachache zaidi na sheria ni kuoa mke moja, hao wanaume wengine mnategemea watokee wapi?
Wakristo wa kiafrika walikosea sana kufuata mitazamo ya ulimwengu ya wamishonari wa Ulaya walioleta Ukristo barani Afrika na kuacha mitala na mila ambayo ilikuwa imeenea kipindi cha manabii wa kwenye Biblia. kina Esau, Musa, Daudi, Elkana, Mfalme Solomon, n.k.
Kuna sehemu hata moja Mungu alipinga ama kuchukizwa na wao kuoa zaidi ya mke moja ?
wakristo wapitie upya mafundisho ya ndoa ya mke mmoja maana hakuna mstari nabii yoyote alietumwa na Mungu kukataza jambo hili.
Ni muhimu ili "kuokoa kizazi cha wanawake ambao wanazeeka kanisani bila waume"
Mitala ilizoeleka na jamii nyingi za kitamaduni za Kiafrika na tamaduni ya Kiyahudi pia ilikuwa ya wake wengi, ilianza kufifia baada ya kuanzishwa kwa Ukristo ulioegemea zaidi tamaduni za kizungu ambako waligeuza sheria zifuate zaidi tamaduni zao za kuo mke moja.