fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,425
- 7,975
Acheni kupiga vita ndoa, kwani ndoa ni mpango wa Mungu, bila kujali dini yoyote. Kwamba zina shida na changamoto nyingi ni kweli, lakini hii haifanyi ndoa kuwa kitu kibaya, kumbukeni ndoa ni baina ya binadamu 2.
Wanamke na mwanaume ambao wametoka watokako na kuoana, ni lazima watakwaruzana, ni kawaida lakini wanakaa na kutatua shida zao, ndoa ni tamu mno, enyi wanawake na wanaume tuungane kusaidia kazi ya Mungu ya kuoana, kila mmoja aweke nia ya kusaidia ndoa moja kufungwa mwaka huu
Wanamke na mwanaume ambao wametoka watokako na kuoana, ni lazima watakwaruzana, ni kawaida lakini wanakaa na kutatua shida zao, ndoa ni tamu mno, enyi wanawake na wanaume tuungane kusaidia kazi ya Mungu ya kuoana, kila mmoja aweke nia ya kusaidia ndoa moja kufungwa mwaka huu