Mie mwenyewe hata sielewi hii kitu inakuwaje!Wengi wa wanandoa wapya siku hizi wanaingia kwenye hiyo taasisi baada ya kupeana mimba "kutest zali", kitu ambacho huko nyuma haikuwa hivyo.Na wengi walioana wakiwa 'bado" hawajaivunja ile amri.Siku hizi vipi?Au ndo utandawazi?
Sometimes most of the women always have that notion ya kwamba couldn't manage birth control au sijui siku zake akuzihesabu vizuri and so on so they end saying it was accidentally na hakuwa ame-plan and so forth, but kwangu mimi siwezi kusema ni accidentally so it's still an open discussion huo ulikuwa mtazamo wangu kwa watu ambao nimewaona wamekutana na such situationThe Finest
kwa mimi nielewavyo mtu akibakwa
Na akapata mimba hiyo ni accident..
Hapo awali naona umetumia sana hiloneno
Accidentally.. naomba ulieelezee kidogo ki
Vipi mimba ni ajali kwa watu wanao plani
kuwa pamoja..
Ukimtosa ndo mbaya mkuu.binafsi ndo mpango mzima,sitangazi ndoa paka kitu kijipe!!!!
maadili yametoweka jameni!
Kibaya zaidi na wabeba mimba wanaikubali hiyo,vipimo vya kitibabu haviwezi kutoa majibu sahihi?kutest validity kunahusika...
utauziwa simu chini ya mnara...