Hana lolote ukware tuu!Wanaume wanavyojua kujisahau,kama na sie tungekuwa tunarukia kila wasaa wa kusaidiwa pangetosha kweli!Kuna mtu kila siku anakupa attention ambayo mume hakupi,ukisema mume wangu anajisahau hata siku moja haniambii nimependeza etc itakuwaje.there is no excuse,period .this is wat I saw....maana huyo bwana alivyotayari kuulizwa kumenipa picha kuwa ana sababu, amabyo ni kosa la mke ndio maana likwambia kwa jeuri anasubiri wamuulize!! lol visingizio
yeye ndio alikuwa anatuona cc tuna shida....
inaelekea upendo wake kwa mumewe ni mkubwa mno maskini, yaani haachi kumalizia kwa..'ameteleza tu'!! huyo mume angepata sekunde tu ya kumwambia mkewe kuwa shetani alimghilibu kabla hajazimia, hayo yote yasingetokea, coz bibiye angeamini na kusamehe pale pale!
Tunamtakia ahueni...
aisee huyu baba ni mtaalamu hasa, keshapanga na majibu na anaona kosa lake moja kutoka na ndugu basi! bahati nzuri huyo mkewe keshayasamehe yote, aliteleza yani hataquestion chochote!Tatizo ni kwamba wanawake huwa hawasemi ukweli kwenye mambo ya infidelity!! Unaweza kukuta anayebisha na kulaani sana infidelity anagawa shimo kama zawadi!!!
na kweli sahizi atawaheshimu maana cha moto kakiona!
...Aspirin umesema kweli tupu. Kuna wanawake wanakufanyia visa weeeeeeeee... kwakuwa weshakuona wewe Mume *****, huna vijisafari, huna marafiki, wewe ni mtu wa nyumbani-kazini-nyumbani..basi ushakuwa ***** lake. Eti amekukalia kichwani, husemi hufurukuti!
Nyamayao, na mashaka huyo wifi yako ana "vi-tabia/jimambo" vyake sawa na hao kaka zake, nio maana alikuwa anawatetea saana.
"Mkuki kwa nguruwe bana, kwa binaadamu weee!..." machungu yake mpaka ICU, no wonder kataka yaishie kimya kimya...
Hana lolote ukware tuu!Wanaume wanavyojua kujisahau,kama na sie tungekuwa tunarukia kila wasaa wa kusaidiwa pangetosha kweli!Kuna mtu kila siku anakupa attention ambayo mume hakupi,ukisema mume wangu anajisahau hata siku moja haniambii nimependeza etc itakuwaje.there is no excuse,period .
ha ha ha ha ha ha ha ha!Tatizo ni kwamba wanawake huwa hawasemi ukweli kwenye mambo ya infidelity!! Unaweza kukuta anayebisha na kulaani sana infidelity anagawa shimo kama zawadi!!!
Hana lolote ukware tuu!Wanaume wanavyojua kujisahau,kama na sie tungekuwa tunarukia kila wasaa wa kusaidiwa pangetosha kweli!Kuna mtu kila siku anakupa attention ambayo mume hakupi,ukisema mume wangu anajisahau hata siku moja haniambii nimependeza etc itakuwaje.there is no excuse,period .
na sisi wanawake tunajisahau sana aisee!!! namkumbuka sana mwl wa Biology when it comes to this......alisema msichana wa kazi marufuku chumbani kwako na mumewe, wala asifue shuka na taulo mlizotumia na mumewe wala asimpakulie mumewe chakula.
Hana lolote ukware tuu!Wanaume wanavyojua kujisahau,kama na sie tungekuwa tunarukia kila wasaa wa kusaidiwa pangetosha kweli!Kuna mtu kila siku anakupa attention ambayo mume hakupi,ukisema mume wangu anajisahau hata siku moja haniambii nimependeza etc itakuwaje.there is no excuse,period .
]na sisi wanawake tunajisahau sana aisee!!! [/COLOR]namkumbuka sana mwl wa Biology when it comes to this......alisema msichana wa kazi marufuku chumbani kwako na mumewe, wala asifue shuka na taulo mlizotumia na mumewe wala asimpakulie mumewe chakula.
wanawake ni miradi ya HASARA mkuu mbu!if you know what i mean...hahaha, wanawake bana!
King'ast hivi kama kuna kitu kinanikwaza kwa mwenzi wangu siwezi kuongea tu mpaka nifanye madudu ndo niulizwe afu niseme..'this is nt happening?'
kwa nini msizungumze unataka mwenzio akutendee namna gani ili ufurahi rather that doing this shit
...hahaha, wanawake bana!
wanawake ni miradi ya HASARA mkuu mbu!if you know what i mean
ha ha ha ha!nimecheka sana aisee!!!! afu weee teamo ngoja niende lediz kwanza nikirudi nikute ufafanusi
..nice one bht, nice one!
habari ndio hiyo!....heee tena?