Mom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 708
- 29
hicho kiliwauzi sana kaka zake, lakini hawana la kufanya, juzi alivyozinduka akauliza jamani nipo wapi na nafanya nini? mke mwenzangu akamjibu"" upo hosp unamfumania baba nanilii lakini hujaukubali ukweli""...haaa ilibidi nitoke nje kwanza...
alimwagia moto mafuta mbona ulienda kuchekea nje?