The king 07
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 521
- 751
na awe na koti kubwaami nalijua la jamabazi kuwa ni lazima avae miwani myeusi na kuvuta sigara au bangi
na awe na koti kubwaami nalijua la jamabazi kuwa ni lazima avae miwani myeusi na kuvuta sigara au bangi
hahahahahahahahahahaBongo movie niliona mzimu unaenda nunua vocha, watu hawauoni ila ulivyofika kuvuka barabara mbona ulisubiri magari yapite,
Nyingine niliona majambazi yameenda kuiba ila yakavua viatu mlangoni sasa hapo ndo ukawa mwisho wa kuangalia bongo movie
Kweli. ..matatizo ni thinking capacity. ..wanazitengeneza kama wanavyowaza wao. .kwa hiyo director ndiyo mwenye matatizo angetakiwa afanye research. ..bahati mbaya kuna watu wanaridhika na kidogo. ..tena wanaanzaga vizur ila wanamaliza kizembe kabisa.
Au lazima awe zuzu...mimi nakumbuka la Kila mlinzi wa getini(Geti man) ladhima Awe mweu kidogo?
Huwa natafuta usingizi kwa lazima ili nisiangalie sijui wamiliki wa magari huwa wanawachukuliaje abiria wao hivi ma fly emirate nao wana movie za ajabu wanashindwa tafuta hata john q?Bongo movie huwa naziona nikisafiri na mabasi. Nje ya hapo huwa sijui ni kitu gani....
hahahahahahaha! hiyo kweli balaa mkuuMwisho wa kuangalia nilioana jambaz linafukuzwa na polis wote wakiwa na magar lakn chaajab gar ya jambaz inawasha indicator inakotaka kukata kona
Alafu wengi wasio zipenda kwenye magari ndo sehem yao yakuziona. Sijui kwanini magarini wsnapenda kaziweka !!Huwa natafuta usingizi kwa lazima ili nisiangalie sijui wamiliki wa magari huwa wanawachukuliaje abiria wao hivi ma fly emirate nao wana movie za ajabu wanashindwa tafuta hata john q?
acheni kumpa sifa zi kijknga. naye alikuwa kama hawa tu. uozo mtupuMwenye bongo movie kashakufa huyo ndo alikuwa anajua anachokifanya waliobaki wote hola, that z kanumba ze great basiiiiiiii