Ndimi mbili za Makonda hizi hapa. Mdahalo alioulilia wamtokea puani , aweka mpira kwapani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,788
218,420
Hebu jionee mwenyewe

Screenshot_2024-01-16-21-15-07-1.png


Mdahalo nao aukimbia

Screenshot_2024-01-16-21-15-52-1.png
 
CHADEMA ya sasa haina weledi wa kuweza kufanya mdahalo.... mdahalo gani wenye masharti ya kufuta muswada wa sheria? CHADEMA kiukweli inabidi mfanye kazi kubwa sana kuondoa hii damage iliyosababishwa na hoja ya kuongeza wabunge. Utetezi wa Mnyika ni mwepesi sana.
 
Kwa hiyo ulitaka afuate masharti yenu yale ya kijinga na kihayawani ambayo mliyaweka mkijuwa hayatekelezeki? Kila mtu anafahamu ya kuwa mlifanya vile kwa uoga wenu wa kuogopa mdahalo hasa baada ya kugundua kuwa mtaumbuliwa ulafi, uroho na ufisi wenu wa kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo ilihali mnafahamu ya kuwa jambo hilo litamuongezea na kumbebesha mzigo mtanzania mnyonge anayelipa kodi.

Lakini mmeona aibu baada ya kutambua kuwa hoja zenu ni dhaifu na tayari mheshimiwa Makonda alikuwa ameshaeleza hadharani madai yenu dhaifu na kuyatolea majibu ambayo yalieleweka vyema kwa watanzania ambao kwa sasa wanawadharau tu kwa uroho na ulafi wenu wa madaraka muliouonyesha katika kutaka mlango mkubwa wa kupatia madaraka ya ubunge kwa ajili ya kushibisha na kujaza matumbo yenu..
 
CHADEMA ya sasa haina weledi wa kuweza kufanya mdahalo.... mdahalo gani wenye masharti ya kufuta muswada wa sheria? CHADEMA kiukweli inabidi mfanye kazi kubwa sana kuondoa hii damage iliyosababishwa na hoja ya kuongeza wabunge. Utetezi wa Mnyika ni mwepesi sana.
Kwamba Makonda na ccm ni wafuata Sheria sana?! Ama mnadhani hatujui ni kwa kiwango gani Sheria Zina double standard kwenye matakwa ya CCM?

Ni mjinga tu ataenda kushiriki mdahalo na huyo muhalifu. Kama kweli Kuna Sheria zinafuatwa nchi hii, yeye alipaswa kuwa jela muda huu, na sio kwenye majukwaa ya siasa kusaka kiki za bei rahisi.
 
Nimekwisha waambia Chadema kwamba Mpina mmoja ni sawa na viongozi watatu waandamizi Chadema.

Hamna sera bali kuvizia matukio na kuendekeza ulafi wa madaraka na chuki kwa visasi.
Tulia we muumini wa chama la majizi. Msimamo wa cdm uko wazi, hawataki midahalo na muhalifu. Kinachotakiwa ni kutoa hiyo miswaada ya kihuni, na mseme ni lini mchakato wa katiba mpya utaanza. Mijadala ya kipuuzi na muhalifu haina maana.
 
Kamwambie Sasa Joyce wowowo asipoteze muda wake, maana watu wanataka mambo serious sio kuchambana na huyo muhalifu.
kamweleze tu puppet bila kumficha chochote, kwamba jamaa wanaoongoza nchi, wameona ni ushamba kujadiliana na mapanyarodi na manyumbu 🐒
 
Back
Top Bottom