kitaalamu zoezi zima linaitwa TEST FLIGHT!.......
muwe na amani jamani maanake NDOVU yangu ya VUGUVUGU ilianza kuwa chungu hapa kitunda,lol
ha ha ha!:tongue: KIU TAYARI
nimeongea na dereva wa presisheni ananiambia WANAFANYA MAZOEZI na timu nzima ya watu wa fire na accidents JUST IN CASE NDEGE IKIANGUKA!
so,
ni mazoezi tu!
huwa wanafanya haya mazoezi mara moja kwa mwaka!.....
invizibo hebu tuambie upo karibu na airport hamna HEKA HEKA?
Hapo kwenye nyekundu ulimaanisha dereva wa magari ama rubani?
Jamani wenye updates please nasikia kuna dege limeanguka mwanza mtupashe habari mlioko mwanza
Hapo kwenye nyekundu ulimaanisha dereva wa magari ama rubani?