ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,821
Wakuu mimi sijawahi kupanda ndege ila nasikia kwenye ndege hizi mfano za kwetu kutoka dar to mwanza safari ya Lisaa limoja kuna madaraja nayasikia kuna economy class,business class na first class.Je tofauti yake ni huduma gani za ziada unazopata ukiwa class ya bei kubwa na zipi huzipati ukilipia nauli ndogo hasa kwa safari za ndege zetu za hapa nchini.