Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
shame on you MwanakJJ! how dare you? uhuru wa mawazo siyo kufanya ulivyofanya yaani umechukua mstari mmoja na kuigeuza ili kumdhalilisha Waziri wetu Mkuu. Sijui inakupa furaha gani wewe huyo mzee kila akiamka anataka kujua magazeti yameandika nini kuhusu yeye. Umeshamsema inatosha anza wengine!
asante.
Mzee mwanakijiji dua la kuku limempata waziri mkuu na unamkoma nyani giladi kisawa sawa na huyu ngedere anaomba umwachie hafahamu kwamba shamba la bibi bado lina mazao, ataachiwa akimbilie kwenye mti aking'atuka.
BRAVO Mwanakijiji.