Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,502
- 9,282
Tanzania kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Nje, January Makamba, ameahidi kutatua na kusuluhisha mzozo wa Kenya na Tanzania Airways.
Kupitia chapisho kwenye X, January alifichua kuwa alizungumza na waziri mkuu wa Kenya, Musalia Mudavadi, na kuahidi kusuluhisha suala hilo ndani ya siku 3 kulingana na makubaliano yaliyopo.
Pia Soma:
- Tanzania yazuia ndege za shirika la ndege la Kenya kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya
Kupitia chapisho kwenye X, January alifichua kuwa alizungumza na waziri mkuu wa Kenya, Musalia Mudavadi, na kuahidi kusuluhisha suala hilo ndani ya siku 3 kulingana na makubaliano yaliyopo.
Pia Soma:
- Tanzania yazuia ndege za shirika la ndege la Kenya kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya