Rais Samia juzi kati alitoa ndege ya ATCL inayobeba abiria zaidi ya 200 kwenda kumbeba Dkt. Tulia na timu yake ya kampeni ya IPU kutoka Angola kurudi nchini kwa gharama za serikali.
Kwa mtazamo wangu huu ni ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka na fedha za Umma.
Kwa mtazamo wangu huu ni ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka na fedha za Umma.