ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,557
Air Tanzania iliokuwa inaondoka leo Kigoma nusura kuanguka wakati ikiruka na imejipiga chini ndani ya bwawa ila hakuna abiria aliyepoteza maisha.
si ilifungiwa hii kampuni ya ndege au waliifungia kisiasa zaidi.. poleni wote mliopatwa na shock ya bila kujitakia..