inategemea na body resistance yako,coz km upo fit utakua carrier 4 all ur lyf! bt weak ata miaka 3 nakuendelea!
mkuu siku chache zilizopita uliuliza hivi: ''hi jf member! aise naomba msaada nmemgonga demu wa mtaani-wakuokota, mchana huu na ndomu ikapasuka! je imekaaje waungwana!''
vipi upande wako mambo yanaendeleaje?