Pole Kaunga lakini ndio ukweli wenyewe huo, kwa taarifa yako kuna gono mpaka la kwenye koo na mengine mengi tu.. kazi kwako kuywa mwangalifu vinginevyo ndio hivyo tena..aah Ruta bwana; kwanini unaharibu raha za watu kwa kumention magonjwa!
Ujumbe wa juu ulikuwa muafaka kwa weeekend, sasa tutaanza kuwazia sijui kuna kavirus kanatembea nitakacatch, mavitu kama TB
Umeniudhi!
Looks like huna company this weekend, ndio maana unatuharibia mood nasi! LOL
Lakini kama ni kwa mpenzi wangu, najiachia kwa mafeelings yangu right??
By the way, hata kuachia mwili wako kwa kila mtu mimi kwangu naona ni uchafu. Mimi nilivyokuwa najadili niliassume moja kwa moja, denda hutumiwa na wapenzi (mume-mke, girlfriend-boyfriend na bila kuwasahau kina Boflo) na ndio maana nikauliza tuwe tuna viral/bactriometer nyumbani, ili before anything tunacheck kama kuna tumafua au tuvikohoo!
Subiri utaletewa !!!Kwetu ni kijijini bana,denda ndo nini?
Hili swali tumpelekee Ndalichako aliingize mwaka huu ingawa litakuwa limevuja !Ruta Kama Bila Denda mnaanza na nini?
Ruta Kama Bila Denda mnaanza na nini?
Unapiga denda galon 5!
Siku hizi sidhani kama denda ni mapenzi kiviile... Mi hata mdada akinitembelea oficini, kama hamna mtu, akikaa vibaya lazima akute ndimi zetu zinasalimiana japo kwa sekunde 10. Kama ni magonjwa, mbona tunaambukizana hata kwa hewa? So tusipande daladala kuogopa kupumua hewa toka kwa watu wengine?!