LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Tangu nchimbi amechaguliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani kumekuwa na wimbi kubwa la wahamiaji haramu na kuwahalalishia wakenya ambao sio raia kupata uraia.mfano antony ngoo na mwanae davis ngoo mwenye paspoti mbili,ya kenya na tanzania,afisa uhamiaji mwanguku alieyendesha upelelezi juu ya wakenya hao na kupendekeza waondolewe nchini kwani sio raia matokeo yake yeye ndio kahamishwa kwa shinikizo la mtoto wa mzindakaya.ushaidi upo kila kitu alikibidhiwa anadai wakenya hawa wanapigwa vita kwa sababu za kibiashara,kuna tetesi zimezaga mirerani amehongwa na wakenya hao na kupewa ahadi za kupewa shea kwenye mgodi wa tanzanite.