Kwa sababu zifuatazo
- Ni nchi yangu ambayo ukiongelea Ufisadi unahatarisha amani na utulivu.
- Ni nchi ambayo rasilimali za nchi zinaibiwa mkihoji kwa nini mtaambiwa mnahatarisha amani na utulivu
- Ni nchi ambayo milipuko kambi za jeshi inaua raia mkihoji mtaambiwa mnahatarisha amani na utulivu
- Ni nchi ambayo viongo wanakwiba mali za umma kwa wingi mkiuliza mtaambiwa mnahatarisha amani na utulivu
- Ni nchi ambayo bunge chini ya chama tawala miswada inapitishwa kwa ushabiki wa chama na si maslahi ya umma ukiuliza unahatarisha amani
- Ni nchi ambayo Rais ameonekana kushindwa na hajui kwa nini watu wake ni maskini mkiuliza mtahatarisha amani na utulivu
- Ni nchi ambayo wezi kama wa EPA wanaambiwa warudishe pesa na mkiuliza mnahatarisha amani na utulivu