sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Nchi ambayo hata mtanzania akitoka huishi kijamaa (japo kiukweli hata Tanzania kuna ukabila kwa mbali).
Nchi ambayo angalau kuna amani kama Tanzania
Nchi ambayo waweza kuanzisha hata duka la mahitaji ya nyumbani bila bugudha nyingi endapo ukilipa kodi.
Nchi ambayo suala la uchumba ama kuoana kwa Mtanzania na mwenyeji ni simple
Nchi ambayo angalau kuna amani kama Tanzania
Nchi ambayo waweza kuanzisha hata duka la mahitaji ya nyumbani bila bugudha nyingi endapo ukilipa kodi.
Nchi ambayo suala la uchumba ama kuoana kwa Mtanzania na mwenyeji ni simple