Hakuna mkubwa duniani wewe ni suala la.muda tu .Na haya yatapita.Vitabya pili ya dunia hakuna mtu alijua dunia itasimama tena but ikawa ndio maendeleo ya kufa mtu .After this new technology zitakuja .Mungu akiruhusu kitu kitokee kuna sabbu na ukiwa hai after 5 years dunia itabadilika.Mafuta na gas will no longer become an issue kwa nchiKuna mabomu yalipigwa Ukraine, kwenye video tu sisi huku Tz tuanza kuogopa, Ukraine milele haiwezi rudi ilivyo..!! Russia kaamua sasa kuonyesha yeye ni mkubwa sana dunia hii.
Oyaaaaa
Ziangalie vizuri nchi ulizozitaja.Ukraine leo amenyukwa balaa kila mahali Russia anapiga
Tayari nchi nyingi zimeanza kuwaondoa watu wake na mabalozi washaanza kufunga virago
Wingu la vita lazidi kuwa nyeusi nchini Ukraine mara baada ya mabalozi na wafanyakazi wao kuondoka nchini Ukraine huku balozi mbalimbali zikifungwa mjini kiev kutokana na hatari ya mashambulizi ya vita kutoka upande wa Urusi.
Mabalozi hao wameondoka mara baada ya kufanyika kwa mazungumzo na Urusi bila kujulikana mazungumzo hayo yalihusiana na nini hasa kwa vita vinavyoendelea nchini Ukraine.
Nchi kama China, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Uzbekistan, Tajikistan, Serbia na Belarus ikiwamo Egypt imewataka Raia wake kuondoka nchini Ukraine haraka iwezekanavyo.
Kuna hali ya hatari kuongezeka kwa mashambulizi nchini Ukraine mara baada ya Urusi kurusha Satellite ya kijeshi itakayotumika kufuatilia hali nzima ya vita nchini Ukraine.
Nchi inapigwa kila mahali, kina clip moja ikionyesha wanajeshi wa Ukraine wakikimbia huku na kule kama mwendawazimu hali sio nzuri.
Sasa bado combination mpya ya Belarus, Iran na Russia haijatua Ukraine hapo ndo Ukraine inaenda kufutwa kabisa.
Kwa hali ya sasa Ukraine haitokaa kuja kurudi kuwa nchi moja kwa huu moto nchi inayoitwa Ukraine ndo basi tena.
View attachment 2389476
.
Hakuna mkubwa duniani wewe ni suala la.muda tu .Na haya yatapita.Vitabya pili ya dunia hakuna mtu alijua dunia itasimama tena but ikawa ndio maendeleo ya kufa mtu .After this new technology zitakuja .Mungu akiruhusu kitu kitokee kuna sabbu na ukiwa hai after 5 years dunia itabadilika.Mafuta na gas will no longer become an issue kwa nchi
Bado unaota tu?Hakuna mkubwa duniani wewe ni suala la.muda tu .Na haya yatapita.Vitabya pili ya dunia hakuna mtu alijua dunia itasimama tena but ikawa ndio maendeleo ya kufa mtu .After this new technology zitakuja .Mungu akiruhusu kitu kitokee kuna sabbu na ukiwa hai after 5 years dunia itabadilika.Mafuta na gas will no longer become an issue kwa nchi
Ataimalizaje wakati hata Russia hasongi tena mbele anarudishwa tu nyuma.HAKUNA taarifa Kama hiyo. Unatakiwa kuomba Ukraine na Nato warudi meza ya mazungumzo sababu Urusi ataimaliza kabisa Ukraine.
Kuota muhimu usipoota maisha yanakupelekesha tu.Mimi naota na nakuwa very positive ili niongeze siku.Wee komaa wakati Putin days are numbered.save this postBado unaota tu?