Nchi kwanza chama baadae na kinachoendelea Arusha

Muafaka haukufuata taratibu na sheria, na kuna harufu ya rushwa ndani yake.Kufuata taratibu na kupinga rushwa ni kwa ajili ya masilahi ya wananchi na si chama. Kwa hili cdm wapo sahihi kabisa.
 
Mtazamo WANGU binafsi Arusha madiwani ambao kwakweli NI wawakilishi WA wananchi na bahati mzuri hakuna aliyepinga kuchaguliwa Kwai udiwani, wamekaa na kuamua KUMALIZA tofauti zao, Leo viongozi wao wanapokataa muafaka ule maana yake UZALENDO KWA CHAMA NI MKUBWA KULIKO KWA WANANCHI WA ARUSHA?

Kwa hili la ARUSHA NILIDHANI INGEKUWA WANANCHI KWANZA, CHAMA BAADAE

Unaanzisha topic halafu hujibu unakimbia mitini huna lolote tu mnafiki tu kama wanafiki mliokuwa wote huko ccm.
Kwanza waambie Wabunge wenu wa Magamba kuwa Nchi kwanza chama baadaye sio kuzomea hoja za maendeleo na kushangilia hoja za kitoto na pia isalimie Bi Kiroboto mwambie Bunge limemshinda
 
Mtazamo WANGU binafsi Arusha madiwani ambao kwakweli NI wawakilishi WA wananchi na bahati mzuri hakuna aliyepinga kuchaguliwa Kwai udiwani, wamekaa na kuamua KUMALIZA tofauti zao, Leo viongozi wao wanapokataa muafaka ule maana yake UZALENDO KWA CHAMA NI MKUBWA KULIKO KWA WANANCHI WA ARUSHA?

Kwa hili la ARUSHA NILIDHANI INGEKUWA WANANCHI KWANZA, CHAMA BAADAE

Nape achana na MAGWANDA, kwa hili la Arusha wamejidhalilisha wananchi hawatuelewi kabisa, hivi hiki chama wao noi wapenda vurugu, mauaji, fujo nk ndio sera zetu jamani ? Mie nilidhani Slaa baada ya kupora yule mke wa mtu utatulia , kumbe ndio umekuwa firauni kuzidi hata watu wa sodoma na gomora
 
Unaanzisha topic halafu hujibu unakimbia mitini huna lolote tu mnafiki tu kama wanafiki mliokuwa wote huko ccm.
Kwanza waambie Wabunge wenu wa Magamba kuwa Nchi kwanza chama baadaye sio kuzomea hoja za maendeleo na kushangilia hoja za kitoto na pia isalimie Bi Kiroboto mwambie Bunge limemshinda

Ww lazima nikuoe hata kama ni ME
 
Mtazamo WANGU binafsi Arusha madiwani ambao kwakweli NI wawakilishi WA wananchi na bahati mzuri hakuna aliyepinga kuchaguliwa Kwai udiwani, wamekaa na kuamua KUMALIZA tofauti zao, Leo viongozi wao wanapokataa muafaka ule maana yake UZALENDO KWA CHAMA NI MKUBWA KULIKO KWA WANANCHI WA ARUSHA?

Kwa hili la ARUSHA NILIDHANI INGEKUWA WANANCHI KWANZA, CHAMA BAADAE

Nape Nnauye,
tatizo hapa sio cheo, madaraka, wala tumbo.
Tunataka haki taratibu, sheria kufuatwa. Na kama leo tutashindwa kusimamia misingi ya sheria kwenye chaguzi, tutazalisha mafisadi kama Magamba. Hatupo tayari kwa hilo.

Ni lazima wewe ushange kwani kuvunjwa sheria, kupata vyeo kwa rushwa, kuiba haki za kidemokrasia, ufisadi na kuiba kura ndio misingi ya CCM. Demokrasia ina gharama zake. Tunataka maendeleo ya kweli sio maendeleo ya kilaghai tuangukiwe na maghorofa. Kututumia akili na kuchambua mambo ndio kumetupelekea kuwa na mikataba mibovu na ya kuuwa uchumi wa nchi. Serikali ya CCM imezoe kulipua kila kitu, na kufanya mikataba ya wizi na rushwa, Ndio maana mliona mmewapata madiwani wale watatu wa CDM.

Tutatetea haki, usawa, taratibu, sheria na katiba ya nchi na ya chama chetu kwa gharama yeyote ile. Hapa hakuna spinning.
 
Babuwaloliondo, changia mada. Nape alishajibu Hilo siku nyingi HATA Kama sikubaliani naye sana KWENYE majibu yake.
Hapa mada NI UZALENDO wa cdm uko wapi kwa sakata la Arusha? Hivi kweli kwasababu Tunataka Kesi ZA viongozi wetu zifutwe, bass tuko tayari mgogoro usiishe, kisa kesi ziko mahakamani ZA Freeman na Slaa?
KWAHILI CHAMA CHANGU MMENICHEFUA AAAAGHAAAAA!!!!!!!!

Acha unyalupalo wewe, tunajua wewe mukama unajitahidi kumnasua nape... hillooooo! tumewashtukia
 
Wewe lazima usime hivyo na hii idara yako ya mipasho.
hakuna hali halisi inayozungumzia

kweli nchi kwanza mambo ya vyama baada vipi kuhusu hoja ya posho? mbona ccm wanaipinga kichama kwa sababu tu kunawapinzani wamei sapoti.
Na hao wazee wanao lala bunge vipi hali wanakula posho? ndio nchi kwanza
vipi na nyamongo? BARRICK wanapata TAX ALLOWANCE hela wanakwenda kumwaga TORONTO UNI
kwa ajili ya mambo ya utafiti ina maana hapa kwetu hakuna cheo kinacho nataka hela ya utafiti, na kama wanajiendesha kwa hasara hayo mabilioni wanatoa wapi?

kwanza ni lini mtu aliawai kuanzisha biashara ilamlipa hapo hapo ,
ina maana hakua (BREAK EVEN POINT) kwenye biashara zaitazowekezwa tanzania mpaka wapewe msaama wa kodi? na kwa nini ni sisi tu nchi kama ghana na malaysia wamesha goma habari hizo.

huna credibility za kuongelea utaifa bana
 
kijana wa ajabu sana huyu...anaanzisha mada anakimbia...uoga unakusumbua ....siku zako zinahesabika wewe...
 
Babuwaloliondo, changia mada. Nape alishajibu Hilo siku nyingi HATA Kama sikubaliani naye sana KWENYE majibu yake.
Hapa mada NI UZALENDO wa cdm uko wapi kwa sakata la Arusha? Hivi kweli kwasababu Tunataka Kesi ZA viongozi wetu zifutwe, bass tuko tayari mgogoro usiishe, kisa kesi ziko mahakamani ZA Freeman na Slaa?
KWAHILI CHAMA CHANGU MMENICHEFUA AAAAGHAAAAA!!!!!!!!

Uzalendo gani mnaoutaka hapa? yaaani watu wagawane madaraka kama pipi then kwakuwa wao ni madiwani waarusha CDM ikae kimya? kama ni hivyo kulikuwa na haja gani ya sisi CDM kuandamana? tuliandamana kupinga mfumo uliyo tumika kumpata meya na naibu meya. watu walikufa wakipigania mfumo mbovu uliyotumika leo hii kikundi cha watu wachache kikae na kuweka maridhiano ambayo yalikuwa siyo msingi wa yale tuliyokuwa tunayapinga? huu ni usaliti wa hali ya juu chama makini kinacho jiandaa kuchukua dola lazima kiwe makini kwenye mambo ya msingi ambayo kimekuwa kiki ya pigia kelele toka kikiwa kichanga mpaka hapa kilipo sasa.
 
Mtazamo WANGU binafsi Arusha madiwani ambao kwakweli NI wawakilishi WA wananchi na bahati mzuri hakuna aliyepinga kuchaguliwa Kwai udiwani, wamekaa na kuamua KUMALIZA tofauti zao, Leo viongozi wao wanapokataa muafaka ule maana yake UZALENDO KWA CHAMA NI MKUBWA KULIKO KWA WANANCHI WA ARUSHA?

Kwa hili la ARUSHA NILIDHANI INGEKUWA WANANCHI KWANZA, CHAMA BAADAE

Nnauye,

Come'n!
Unataka Chadema ije mezani katika bargaining/negotaition na bakuli la damu ya watu wanaodai haki huku upande mwingine CCM ije na Unaibu Meya kwa kwa kuvuruga kanuni,kutokufuata sheria,uhalifu wa kisiasa kwa gharama ya damu ?

I need you make something clear: BALANCE – in two senses – societal and individual.

Societal Balance of Justice demands that that which is good for the goose should be good for the gander in a just society – for this reason it is incontestable that we all desire that all non-principled elements be equally prosecuted.

Individual Balance of Justice demands that each man individually will reap what he sows: a karmic effect if you like – namely that if you jump up you will fall down, and that what goes around comes around.

Thus in the first sense we speak about societal equality, social justice. In the second sense we speak of justice to the individual.

Chadema ni chama kinachojijenga katika misingi ya maadili,haki na wajibu.Chadema ni tofauti sana na CCM ambayo imekuwa chanzo cha ukosefu wa nidhamu,maadili na hivyo kupoteza uwezo na hata moral Authority ya kuiwajibisha serikali yao pale inapokosa nidhamu kwa wananchi wake.Sidhani kama ni jambo la kheri kwa chama chochote makini cha siasa kulea utovu wa nidhamu,matokeo yake tutakuwa kama CCM ambayo katibu mwenezi wake wa sasa ana historia ya kukosa nidhamu hadi kutaka kuanzisha chama kingine (CCJ) na kufanya jitihada za kugombea ubunge kupitia chama kingine!

Suala la Arusha ni lazima lihusishe makao makuu ya chama cha Chadema,hili ni suala la kitaifa.Ndiyo maana haikuwa makosa kwa katibu mkuu wa chama enzi zile Yusuf Makamba kuliongelea,Ndiyo maana haikulalamikiwa kwamba mbona waziri mkuu Mizengo Pinda kaliongelea(Pamoja na kutuhumiwa kufanya jitihada za aibu za kulidanganya bunge na taifa). Tatizo la Chadema si umeya,haki na wajibu ambao unatokana na kufuata kanuni,taratibu na sheria ndiyo maslahi yanayotakiwa.Muafaka/suluhisho lolote litokanalo na ubakaji wa Demokrasia bila kuzingatia misingi ya haki,kujitoa sadaka nk. ukiachwa utakuja kushuhudia makubaliano ya kuhujumu haki,chama na itikadi! sidhani kama chadema inataka kufika huko.

Siku zote mimi nasema,yeyote anayevunja kanuni,ni lazima adhibiwe kwa mujibu wa kanuni bila kujali uwezo,cheo,rangi,kabila,dini,itikadi na hata Jinsia! Hii ndiyo siasa ya demokrasia ya vyama vingi iliyotokana na watu kwa ajili ya watu!
 
Tofauti ni NINI?; kama hao waliochaguliwa hawakidhi matakwa ya wananchi na wana lao jambo sioni tofauti..
 
Acha unyalupalo wewe, tunajua wewe mukama unajitahidi kumnasua nape... hillooooo! tumewashtukia

ni nape yule yule anatumia ID hii.......ukitaka kumjua akuwa yeye angalia thread yake hapo juu alivyopanga maneno then angalia na post hiyo aliyotumia jina hilo utajua kuwa ni yeye......kuna mahalli anaruka baadhi ya maneno....sasa hivi anatumia ID hii baada ya ile ya A-CHE-BE kustukiwa.....
 
Nape achana na MAGWANDA, kwa hili la Arusha wamejidhalilisha wananchi hawatuelewi kabisa, hivi hiki chama wao noi wapenda vurugu, mauaji, fujo nk ndio sera zetu jamani ? Mie nilidhani Slaa baada ya kupora yule mke wa mtu utatulia , kumbe ndio umekuwa firauni kuzidi hata watu wa sodoma na gomora

toa wenda wazimu wako hapa, onga mambo ya msingi juu ya kulikomboa hili taifa mambo ya maisha ya mtu binafsi yanaingiaje kwenye mada hii? CDM huwa hatuchezi viduku bro, *cdm ni vitendo mbele tumeshazoea propaganda za maji taka hazitusumbui maana sasa ukweli umeshaanza kushinda, nenda kachukue posho uende kule kanga moko, maana ndipo mnapoenda kuijadili nchi kule.... wehu wakubwa nyie
 
Chadema ni chama kinachojijenga katika misingi ya maadili,haki na wajibu.Chadema ni tofauti sana na CCM ambayo imekuwa chanzo cha ukosefu wa nidhamu,maadili na hivyo kupoteza uwezo na hata moral Authority ya kuiwajibisha serikali yao pale inapokosa nidhamu kwa wananchi wake.Sidhani kama ni jambo la kheri kwa chama chochote makini cha siasa kulea utovu wa nidhamu,matokeo yake tutakuwa kama CCM ambayo katibu mwenezi wake wa sasa ana historia ya kukosa nidhamu hadi kutaka kuanzisha chama kingine (CCJ) na kufanya jitihada za kugombea ubunge kupitia chama kingine!

Suala la Arusha ni lazima lihusishe makao makuu ya chama cha Chadema,hili ni suala la kitaifa.Ndiyo maana haikuwa makosa kwa katibu mkuu wa chama enzi zile Yusuf Makamba kuliongelea,Ndiyo maana haikulalamikiwa kwamba mbona waziri mkuu Mizengo Pinda kaliongelea(Pamoja na kutuhumiwa kufanya jitihada za aibu za kulidanganya bunge na taifa). Tatizo la Chadema si umeya,haki,wajibu ambao unatokana na kufuata kanuni,taratibu na sheria ndiyo maslahi yanayotakiwa.Muafaka/suluhisho lolote litokanalo na ubakaji wa Demokrasia bila kuzingatia misingi ya haki,kujitoa sadaka ukiachwa utakuja kushuhudia makubaliano ya kuhujumu haki,chama na itikadi! sidhani kama chadema inataka kufika huko.

Siku zote mimi nasema,yeyote anayevunja kanuni,ni lazima adhibiwe kwa mujibu wa kanuni bila kujali uwezo,cheo,rangi,kabila,dini,itikadi na hata Jinsia! Hii ndiyo siasa ya demokrasia ya vyama vingi iliyotokana na watu kwa ajili ya watu!
wewe kijana kumbe mjinga. diwani kachaguliwa na wananchi wa arusha. unataka atumie akili ya kuambiwa na chadema makao makuu.

tumechagua madiwani wa nini. tuchague chama basi.

ndio maana pamoja na chadema kukutenda ukabaki kujiumauma tu. mwanasiasa asiye na msimamo wake ni zuzu wa siasa.

kanuni gani hapo imevunjwa. pelekeni roboti wakawawakilishe.
 
sorry sikujua kama ni wewe, kwa nini wasirudie tu uchaguzi kaka nyinyi si mko wengi. samahani nilikuwa napita
 
Nape nyie wenyewe mnajali viongozi kwanza wananchi badae ndio maana hata pale morogoro viongozi wanapeana madaraka kienyeji kisa kiongozi kwanza wanachama badae, inamaana hujui kama wenyewe kwa wenyewe kule K, ndege wanatoana roho? hujui yule katibu Ali isaa amefukuzwa kwa nchimbi mmempeleka pale kuvuruga, wenyewe wanamwimba ali isaa katibu kweli, kwa mshahara upi kwa muda wa miezi michache afike pale na kununua gari, alafu mnasema mafisadi mnawavua magamba ni wepi hao kama sio hao? msitulaghai
 
wewe kijana kumbe mjinga. diwani kachaguliwa na wananchi wa arusha. unataka atumie akili ya kuambiwa na chadema makao makuu.

tumechagua madiwani wa nini. tuchague chama basi.

ndio maana pamoja na chadema kukutenda ukabaki kujiumauma tu. mwanasiasa asiye na msimamo wake ni zuzu wa siasa.

kanuni gani hapo imevunjwa. pelekeni roboti wakawawakilishe.



hivi umemwelewa ben da' jenifa?
 
Back
Top Bottom