tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Leo jiono kutoka namanga mpaka sayansi nimetumia masaa mawili kwa gari,
ni aibu kubwa sana.
Tatizo letu sisi wa tz tunauoga kuongelea na kudai haki zetu.
Mafuta ya gari kidogo unayokuwanayo yanaisha kwenye foleni,
wakati wanaojiona wajanja waruka angani,bila matatizo.
ni aibu kubwa sana.
Tatizo letu sisi wa tz tunauoga kuongelea na kudai haki zetu.
Mafuta ya gari kidogo unayokuwanayo yanaisha kwenye foleni,
wakati wanaojiona wajanja waruka angani,bila matatizo.