Nchi inakaribia kupasuka

Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais.

Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.

Orelse we gona vuna mabua

Jpm aliweza kuidhibiti mikutano mpaka akina mbowe na lema wakaw wakimbizi. Sasa we cheka nao tu unaona

Chadema hawanaga shukrani kwa lolote.

Jpm alizuia mikutano yote ndo mana anaheshimiwa mbinguni na duniani mana hakukuwa na yeyeto mwenye ubavu wa kimkosoa.

Hata lisu anamyambua mana alikoswa koswa
Unabishana na Katiba?
Jibuni hoja acha matisho ya kishamba...Kudai KIKOKOTOO kiondolewe ni uhaini?

Kibuyu
 
Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais.

Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.

Orelse we gona vuna mabua

Jpm aliweza kuidhibiti mikutano mpaka akina mbowe na lema wakaw wakimbizi. Sasa we cheka nao tu unaona

Chadema hawanaga shukrani kwa lolote.

Jpm alizuia mikutano yote ndo mana anaheshimiwa mbinguni na duniani mana hakukuwa na yeyeto mwenye ubavu wa kimkosoa.

Hata lisu anamyambua mana alikoswa koswa
Jisemee Wewe na nafsi yako, Wewe ni jinga nini.... Eti sisi Watanzania tunaofanya kazi na wasio na kazi?
 
Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais.

Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.

Orelse we gona vuna mabua

Jpm aliweza kuidhibiti mikutano mpaka akina mbowe na lema wakaw wakimbizi. Sasa we cheka nao tu unaona

Chadema hawanaga shukrani kwa lolote.

Jpm alizuia mikutano yote ndo mana anaheshimiwa mbinguni na duniani mana hakukuwa na yeyeto mwenye ubavu wa kimkosoa.

Hata lisu anamyambua mana alikoswa koswa

Kwa hiyo unafikiri nchi inaweza kuongozwa Kimagufuli gufuli miaka yote..!?

Na siyo kila mtu anaweza kuongoza Kimagufuli. Wanaweza kufanikiwa kwa sasa ila huko mbeleni itakuwaje!? Kama kuna tatizo waliface tu sasa badala ya kuahirisha.
 
Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais.

Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.

Orelse we gona vuna mabua

Jpm aliweza kuidhibiti mikutano mpaka akina mbowe na lema wakaw wakimbizi. Sasa we cheka nao tu unaona

Chadema hawanaga shukrani kwa lolote.

Jpm alizuia mikutano yote ndo mana anaheshimiwa mbinguni na duniani mana hakukuwa na yeyeto mwenye ubavu wa kimkosoa.

Hata lisu anamyambua mana alikoswa koswa
Kwanini mzanzibari kuzungumzia uzanzibari hadi kutaka watanganyike wahitaji passport kwenda zenj si deal wala uhaini ila mtamganyika kuzungumzia utanganyika iwe uhaini?
 
Kw
Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais.

Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.

Orelse we gona vuna mabua

Jpm aliweza kuidhibiti mikutano mpaka akina mbowe na lema wakaw wakimbizi. Sasa we cheka nao tu unaona

Chadema hawanaga shukrani kwa lolote.

Jpm alizuia mikutano yote ndo mana anaheshimiwa mbinguni na duniani mana hakukuwa na yeyeto mwenye ubavu wa kimkosoa.

Hata lisu anamyambua mana alikoswa koswa
Kwanini wamdhibiti
Si wajibu tu hoja zake
 
Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais.

Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.

Orelse we gona vuna mabua

Jpm aliweza kuidhibiti mikutano mpaka akina mbowe na lema wakaw wakimbizi. Sasa we cheka nao tu unaona

Chadema hawanaga shukrani kwa lolote.

Jpm alizuia mikutano yote ndo mana anaheshimiwa mbinguni na duniani mana hakukuwa na yeyeto mwenye ubavu wa kimkosoa.

Hata lisu anamyambua mana alikoswa koswa
Sasa umeandika Nini surely?
 
Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais.

Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.

Orelse we gona vuna mabua

Jpm aliweza kuidhibiti mikutano mpaka akina mbowe na lema wakaw wakimbizi. Sasa we cheka nao tu unaona

Chadema hawanaga shukrani kwa lolote.

Jpm alizuia mikutano yote ndo mana anaheshimiwa mbinguni na duniani mana hakukuwa na yeyeto mwenye ubavu wa kimkosoa.

Hata lisu anamyambua mana alikoswa koswa
Huu ushauri ni wa chama chochote kilichoshindwa kutawala kwa ushawishi. Kuzuia mikutano ni kuahirisha tatizo tu. Hakuna kazi ngumu kama kutetea uongo. Lisu ana nguvu maana Yuko kwenye ukweli. Hiki sio kizazi Cha kukitawala kwa hoja za uongo.

Mtaweza kutishia watu kwa muda Fulani, lakini kiukweli ccm sio chama Cha kizazi hiki, ndio maana kinapata tabu kupambana na ukweli. Magufuli anasifiwa na wachovu wa siasa za ushindani, na ndio maana amekaa madarakani muda mfupi, aina yake ya utawala ilikuwa ya kizamani mno. Ama umesahau pamoja na hila zake zote, Bado ilibidi apore uchaguzi Ili kutangazwa ushindi wa kumfariji?
 
Kwanini mzanzibari kuzungumzia uzanzibari hadi kutaka watanganyike wahitaji passport kwenda zenj si deal wala uhaini ila mtamganyika kuzungumzia utanganyika iwe uhaini?
Ni samia aliyezungumza hayo? Deal na aliyezungumza ikiwezekana mrushie ngumi
 
Jisemee Wewe na nafsi yako, Wewe ni jinga nini.... Eti sisi Watanzania tunaofanya kazi na wasio na kazi?
Mbona kazi zimejaa ndugu yangu. Au we ni mvivu. Pambana aise wakenya wanakuja kwa kasi kuchukua nafasi hizi mana watanzania ni wavivu by nature
 
Ni samia aliyezungumza hayo? Deal na aliyezungumza ikiwezekana mrushie ngumi
Hasemi kwa sababu kasema fulani ambapo akisema yeye si jinai. Anasema kwa sababu inapaswa kusemwa sasa kwanini wakisema wao si jinai ila akisema mbara iwe jinai
 
Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais.

Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.

Orelse we gona vuna mabua

Jpm aliweza kuidhibiti mikutano mpaka akina mbowe na lema wakaw wakimbizi. Sasa we cheka nao tu unaona

Chadema hawanaga shukrani kwa lolote.

Jpm alizuia mikutano yote ndo mana anaheshimiwa mbinguni na duniani mana hakukuwa na yeyeto mwenye ubavu wa kimkosoa.

Hata lisu anamyambua mana alikoswa koswa
Lissu ni shujaa na muwazi wa kiwango ambacho hapa Tz ni futuristic. Jpm aliharibu nchi hii na kule ghamboshi alipo sasa ndio anastahili.
 
Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais.

Chukueni hatua mapema kuzuia mikutano mana haina afya kwa ustawi wa sisi tunaopenda kufanya kazi.

Orelse we gona vuna mabua

Jpm aliweza kuidhibiti mikutano mpaka akina mbowe na lema wakaw wakimbizi. Sasa we cheka nao tu unaona

Chadema hawanaga shukrani kwa lolote.

Jpm alizuia mikutano yote ndo mana anaheshimiwa mbinguni na duniani mana hakukuwa na yeyeto mwenye ubavu wa kimkosoa.

Hata lisu anamyambua mana alikoswa koswa
you are stupid! jinga kabisa. Wazazi wako wana hasara, miezi tisa unazaa kitu kama wewe.
 
Back
Top Bottom