- Thread starter
- #101
Mbona kazi zimejaa ndugu yangu. Au we ni mvivu. Pambana aise wakenya wanakuja kwa kasi kuchukua nafasi hizi mana watanzania ni wavivu by natureJisemee Wewe na nafsi yako, Wewe ni jinga nini.... Eti sisi Watanzania tunaofanya kazi na wasio na kazi?