Habari wadau.
Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.
Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.
Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.
Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
Kweli kama vile watanzania wamepatwa na msiba natamani kwenda kuishi nje na tanzania nikikumbuka ccm ilipotufikisha na tena ndio watawala nahisi kuugua ilamungu anisaidie na awasaidie watanzania wote waliofikwa na hali hii ya kutokuwa na amani awe faraja kwa watu wote amen.
Habari wadau.
Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.
Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na
hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.
Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.
Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
... nenda kapige push up Lumumba upate pesa.[/QUOTE said:Hahahahahaha!
Wewe kaka wewe, pole pole jamani. Ni msiba wetu, kwani tumefiwa sote. Wengine sio tumefiwa na mama tu bali hata na baba huku Visiwani wamemnyonga!
Hata humu Jamii forum kumenuna sana kunabore mnoHahahahahaha!
Wewe kaka wewe, pole pole jamani. Ni msiba wetu, kwani tumefiwa sote. Wengine sio tumefiwa na mama tu bali hata na baba huku Visiwani wamemnyonga!
Nmekuelewa brother. Milioni 6 wamenuna, milioni 8 wamefurahi na milioni 36Apprx, haieleweki. Japo kwenda hiyo 36M approx kuna wanachuo na watu wengine ambao hawakupiga kura. Wengi wao watakua wamenuna kwasababu hawajapiga kura pia.Kura milioni 6 sio chache aisee
Tafakari mabox yaliyokamatwa, tafakari mabox ambayo yalipitishwa wakati tumeenda kusubiri matokeo, tafakari manipulation za tume. But if you are blinded, you will never see the truth.