Humkubali acha kazi uone ilivo kazi kuishi bila kaziUkosefu wa amani moyoni hupunguza ufanisi wa kazi.
Sisi ni binadamu sio vyuma.
Tusubiri ahadi ya mahakama ya mafisadi kwani ni miongoni mwa ahadi, ila Nape kasema mdomo wa John haukusema!!!
Acheni kuleta propaganda zenu hapa za kijinga, wengi waliomchagua Dk Magufuli wanafuraha, ninyi watu wa Dar, Arusha, Mbeya na Moshi mjini ndio hamna furaha. Mikoa mingine mingi iliyobakia watu wanafuraha sana nikiwemo mimi na wengine wengi. Dar sio Tanzania nzima, Dar sehemu tu ya Tanzania. Kama hamna furaha, basi kunyweni sumu ama chukueni kamba mkajinyonge. Wapumbavu wakubwa ninyi. Tumemchagua Magufuli na sasa ni kazi tu.
Mmhh!! Maneno yamejaa hekima na huzuni ndani yake. Hakika Neema ya Mungu yaweza kutuvusha toka katika bonde hili la huzuni kuu.
Tunaojitambua tuna amani na furaha tele. Msiojitambua kazi kwenu. Kufanya kazi kwa bidii ni kwa faida yako mwenyewe. Ukizembea itakula kwako
Si kweli Songea kulikua na shangwe kama nini. Hatukulala kwa mahaba ya Magufulihata mbeya nimeona kimya tu....ingawa kuna kikundi kidogo ambacho watu walikuwa kama wanakishangaa tu kwa kufurahia matokeo ya Magufuli kuwa Rais, nimeona kidogo pale Lumumba na Chato kwa Mheshimiwa. Ila pande zingine nyingi watu wapo tu hawana jipya, inaonekana wamekata tamaa na hawaoni kama kuna matumaini...nimeamini EL alipendwa sana, yaani hapa JPM ajitahidi tu kuwaridhisha watu....yaani hakuna shangwe nchi nzima...why??? wajitafakari.
Watanzania ni wavivu sema. Asifanya kazi na asile.Binafsi nimesoma kwa shida sana, yaani nikikumbuka safari yangu ya maisha ya kielimu naumiaga sana, roho inaniumaga sana, leo amejitokeza mtu anaetaka kusomesha watu bure wachache wanafanyia fitina bila kujali ni vijana wangapi wanahangaika na maisha kwakukosa pesa ya kula tu sembuse shule!! Watanzania sisi ni maskini sana, Asilimia kubwa ni watu wa tabaka la chini kabisa, tumeumizwa sana!! Ila ipo siku tutakaambiwa hii ni Nyekundu tutasema hapana hii ni Njano!!
Watu wana majonzi makubwa. Hakuna tena furaha. SAUTI YA WENGI SAUTI YA MUNGU. Ipo siku Mungu atafanya jambo kubwa sana hakika naamini hivyo.
Watu wana majonzi makubwa. Hakuna tena furaha. SAUTI YA WENGI SAUTI YA MUNGU. Ipo siku Mungu atafanya jambo kubwa sana hakika naamini hivyo.
Tanzania INALIAAA...daaah..!!
We mwenyewe marehem mtarajiwa.. Yawezekana ata usiugue ukajikwaa tu..... Tetea ukipendacho kwa style yoyote ila usikosoe uumbaji.... Asilimia kubwa ya wa Tz tuna uzuni kweli tena sio kidogo
Ukweli ni kwamba magufuli ni rais ktk siasa.Na lowasa ni rais ktk nyoyo za watanzania
Watu wana majonzi makubwa. Hakuna tena furaha. SAUTI YA WENGI SAUTI YA MUNGU. Ipo siku Mungu atafanya jambo kubwa sana hakika naamini hivyo.