The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,465
- 17,306
Wakuu habari za jioni.
Wakuu naomba kukiri mimi usingekua uhongaji labda ningekua namkaribia msukuma kwa mpunga lakini sijui ni pepo nimelogezewa la kuhonga ama namna gani.
Wakuu, inapokuja swala la kuhonga kwa kweli hua sijiulizi mara 2, kama ninacho natoa tu.
Hili sio kwa wanawake tu, hata kwa watu wengine, nikiwa nacho natoa sana kwa watu. Nadhani nimekua na roho nzuri kupita kiasi, mimi sio mtu wa kumuomba kitu ninacho nikakunyima. Hata nikijikaza nikakunyima roho itaniuma sana.
Na mbaya zaidi naona kama kuna watu wananijua na wana take advantage of my kindness. Nimekua too kind na I can't help.
Wakuu naombeni msaada hii tabia ya kutoa na kuhonga sana inanimaliza. Nawezaje kua na mkono wa birika.
Ahsante.
Wakuu naomba kukiri mimi usingekua uhongaji labda ningekua namkaribia msukuma kwa mpunga lakini sijui ni pepo nimelogezewa la kuhonga ama namna gani.
Wakuu, inapokuja swala la kuhonga kwa kweli hua sijiulizi mara 2, kama ninacho natoa tu.
Hili sio kwa wanawake tu, hata kwa watu wengine, nikiwa nacho natoa sana kwa watu. Nadhani nimekua na roho nzuri kupita kiasi, mimi sio mtu wa kumuomba kitu ninacho nikakunyima. Hata nikijikaza nikakunyima roho itaniuma sana.
Na mbaya zaidi naona kama kuna watu wananijua na wana take advantage of my kindness. Nimekua too kind na I can't help.
Wakuu naombeni msaada hii tabia ya kutoa na kuhonga sana inanimaliza. Nawezaje kua na mkono wa birika.
Ahsante.